Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,611
- 109,239
Wapumbavu ni wengi sana Tanzania, mimi hata redio nilipo sina, sina Dvd player wala situmii flash.Ila watanzania tupo emotional yaani ni kazi rahisi sana kutuongoza maana unaweza kuwa unakaa kwenye apartment ya maana, unakula bata sana tuu na unaendesha gari yenye thamani ya vyumba vya madarasa.
Ila siku moja ukiamua unaenda na camera zako nyingiiii masoko ya mtaani huku zikikupiga picha kuwa unanunua muhindi wa 500 na umevaa jezi za kawaida huku ukipiga story na wale wauzaji. Automatically unapata loyalty ya watu wengi wa kipato cha chini na wanakuona mmoja wao
Simu yangu inaweza kuaccess kila kitu kupeleka kwenye Bluetooth speaker na movie naangalia netflix kutokea kwenye simu kwenda kwenye smart tv yangu na nina monthly unlimited bundle.
Mpumbavu akija nyumbani kwangu huenda akanihesabu na mimi niko simpo na wala sina makuu bila kujua bill yangu ya kila mwezi kwa subscription zangu nakwata kiasi gani kwenye credit card yangu.
Magufuli amefanikiwa namna ya kuishi na watu wajinga, hata leo wameonesha live kikao cha baraza la mawaziri wapumbavu wakaanza kumimina sifa, nikamwambia mpumbavu mmoja mawaziri wote kiapo chao ni kutunza siri za vikao vya baraza la mawaziri, sasa nyinyi wauza Alkasusu mmeapishwa lini kutunza siri hizo mpaka muoneshwe kikao hicho live? Wakanizomea.
Basi baada tu ya Hussein Mwinyi kuapa kuwa mtiifu kwa Mzee wetu na hapo ndipo ukawa mwisho wa live coverage Magufuli anafungua kikao anamkaribisha chief secretary alete ajenda na Msigwa akakata matangazo papo hapo.
Kuna wapumbavu mpaka sasa watakwambia kikao cha baraza la mawaziri kilikuwa live shenzi kabisa mijitu ya nchi hii.
Hii nchi itaendelea kuwa maskini zaidi, mtawalaumu bure CCM lakini tatizo syo CCM bali tatizo ni wapumbavu wengi waliojaa Tanzania. Bullshit.