Malaika Gabrieli
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 3,556
- 6,689
Mi nacheka tu... hihihihiiii😁😁😁
Una macho makali sana. Yaani yamepenya hadi kuona label ya maji? Mimi naona kizibo cha chupa tu!Safi sana naona na maji ya uhai pembeni
uJINGA NI KITU KIBAYA SANAHabari za asubuhi wanajamvi.
Jana zilisambaa picha nyingi zikimuonesha RAIS watu akiwa Ofisini akiongea na Simu aliyopigiwa na Rais Wa China, Picha hizo zilionesha Ofisi iliyojaa mafaili ambayo inayotumiwa na Rais wa Tanzania IKULU CHAMWINO, DODOMA.
Niseme hapa kuwa kiukweli Rais wetu ni Rais wa Wanyonge kwani Ofisi yake ni kama hizi za wakuu na walimu wakuu wa Shule za Msingi Zilizoko Tanzania.
Nachelea kusema kuwa hii inaonesha ni namna gani Rais wetu sio wa vitu vikubwa na ni Rais wa Wanyonge.
Hongera Rais Wetu.
View attachment 1651282
Hajakataza watu kupiga picha. Amekataza watu kurushiana document za Serikali na ambazo ni confidential, kwenye mitandao ya whatsup. Hawa viongozi naomba tuwe tunawasikiliza vizuri wanapokuwa wanaongea ili kusudi inapofikia kwenye hatua ya kuwatuhumu, tuwatuhumu kwa tuhuma zilizo sahihi!Kwa hiyo amekataza wateule wake kupiga picha wakiwa kazini ila yeye na Jokate wanapiga.
Mkuu hapa umeongea kama jiwe kabisa! Hilo neno ILI KUSUDI hakuna mtanzania anapenda kulitumia mara nyingi zaidi ya Mh. Jiwe.Hajakataza watu kupiga picha. Amekataza watu kurushiana document za Serikali na ambazo ni confidential, kwenye mitandao ya whatsup. Hawa viongozi naomba tuwe tunawasikiliza vizuri wanapokuwa wanaongea ili kusudi inapofikia kwenye hatua ya kuwatuhumu, tuwatuhumu kwa tuhuma zilizo sahihi!
Thread closedIla watanzania tupo emotional yaani ni kazi rahisi sana kutuongoza maana unaweza kuwa unakaa kwenye apartment ya maana, unakula bata sana tuu na unaendesha gari yenye thamani ya vyumba vya madarasa.
Ila siku moja ukiamua unaenda na camera zako nyingiiii masoko ya mtaani huku zikikupiga picha kuwa unanunua muhindi wa 500 na umevaa jezi za kawaida huku ukipiga story na wale wauzaji. Automatically unapata loyalty ya watu wengi wa kipato cha chini na wanakuona mmoja wao
Unaanza kunipa matumaini mazuri ya kwamba pengine labda hizi tetesi za kwamba mimi ndiyo nitafuata baada ya yeye ni za kweli, lol!Mkuu hapa umeongea kama jiwe kabisa! Hilo neno ILI KUSUDI hakuna mtanzania anapenda kulitumia mara nyingi zaidi ya Mh. Jiwe.
Sasa hivi tuna reserve kiasi gani ya hayo madini?Huo umodeni wako ndio umetutoroshea madini kwenda kwa jamaa zako miaka yote. Tunamhitaji Rais local uko sahihi. Have you ever seen him kwearing the pipa going abroad???
Ungetueleza kwanza Rais ana ofisi ngapi hapo Ikulu?Habari za asubuhi wanajamvi.
Jana zilisambaa picha nyingi zikimuonesha RAIS watu akiwa Ofisini akiongea na Simu aliyopigiwa na Rais Wa China, Picha hizo zilionesha Ofisi iliyojaa mafaili ambayo inayotumiwa na Rais wa Tanzania IKULU CHAMWINO, DODOMA.
Niseme hapa kuwa kiukweli Rais wetu ni Rais wa Wanyonge kwani Ofisi yake ni kama hizi za wakuu na walimu wakuu wa Shule za Msingi Zilizoko Tanzania.
Nachelea kusema kuwa hii inaonesha ni namna gani Rais wetu sio wa vitu vikubwa na ni Rais wa Wanyonge.
Hongera Rais Wetu.
View attachment 1651282
Printer bei gani?Hiyo meza unajua bei yake wewe?
Hiyo simu unajua bei yake wewe.
Hiyo printer unajua bei yake wewe?
Hatunasema rais awe na ofisi ya gharama saaana hapana, awe na ofisi ya kawaida tuu ina iwe imepangwa vizuri.
Kweli hiyo ni arrangement ya ofisi ya Rais? Hivi waloajiriwa kwa ajili ya kumsaidia kazi rais wanalipwaje mishahara kwa kumuachia rais afanye mpaka kazi za kupanga ofisi?
Rais wetu anawaza mipango mikubwa mikubwa sio aanze kujisumbua kwa kupanga panga vimeza kazi ambayo hata mlinzi wake anaweza kuifanya.
Wewe pimbi sana.Habari za asubuhi wanajamvi.
Jana zilisambaa picha nyingi zikimuonesha RAIS watu akiwa Ofisini akiongea na Simu aliyopigiwa na Rais Wa China, Picha hizo zilionesha Ofisi iliyojaa mafaili ambayo inayotumiwa na Rais wa Tanzania IKULU CHAMWINO, DODOMA.
Niseme hapa kuwa kiukweli Rais wetu ni Rais wa Wanyonge kwani Ofisi yake ni kama hizi za wakuu na walimu wakuu wa Shule za Msingi Zilizoko Tanzania.
Nachelea kusema kuwa hii inaonesha ni namna gani Rais wetu sio wa vitu vikubwa na ni Rais wa Wanyonge.
Hongera Rais Wetu.
View attachment 1651282
Fala wewe unaanza kujisifia kuhusu dada yako, wewe unafanya kazi gani?? Kuna mbupu mnakera sana.Wewe pimbi sana.
Dada yangu ni HR manager wa ofisi fulani ya serikali makao makuu.
Yeye anakuambia kwake ni mwiko kukaa na faili mezani. Kazi ikija ataifanya inapita.
Nyie ndio mapimbi mnaodhani mtu ofisini akijazana mafile ndiye mchapa kazi.
Watu wanasahau alikuwa mwalimu.Huu mpangilio wa mafaili utaukuta ofisi ya mwalimu wa shule gani?