Tatizo lugha na ushamba, sasa ataenda wapi kwa mfano na ze ze kibaoHuo umodeni wako ndio umetutoroshea madini kwenda kwa jamaa zako miaka yote. Tunamhitaji Rais local uko sahihi. Have you ever seen him kwearing the pipa going abroad?
Tatizo lugha na ushamba, sasa ataenda wapi kwa mfano na ze ze kibaoHuo umodeni wako ndio umetutoroshea madini kwenda kwa jamaa zako miaka yote. Tunamhitaji Rais local uko sahihi. Have you ever seen him kwearing the pipa going abroad?
Wacha ushamba wewe huo mlundikano wa mafile hapo unajifanyya huuoni hio ina maanisha jiwee ni mzee wa kuahirisha mamvbo ndio maana yameongezeka kwasababu hayafanyiwi kazi kwa wakati.Habari za asubuhi wanajamvi.
Jana zilisambaa picha nyingi zikimuonesha RAIS watu akiwa Ofisini akiongea na Simu aliyopigiwa na Rais Wa China, Picha hizo zilionesha Ofisi iliyojaa mafaili ambayo inayotumiwa na Rais wa Tanzania IKULU CHAMWINO, DODOMA...
Haka kazee bwana kwa usanii, sasa hayo mafaili yote ndiyo kusema? Kanaji-overwork bure wakati kakitoka tu madarakani tunarudi kule kule tulikozoea!Hiyo meza unajua bei yake wewe?
Hiyo simu unajua bei yake wewe...
TutajieHiyo meza unajua bei yake wewe?
Hiyo simu unajua bei yake wewe...
Wacha ushamba wewe huo mlundikano wa mafile hapo unajifanyya huuoni hio ina maanisha jiwee ni mzee wa kuahirisha mamvbo ndio maana yameongezeka kwasababu hayafanyiwi kazi kwa wakati.
Hoja siyo makinikia kusafirishwa. "People should be able to come in our country, but LEGALLY!" ~ Donald J. Trump.mkuu makinikia hadi kesho yanasafirishwa,lakini pia kuna kiwanja chochote cha ndege katika Mgodi wowote kilichofungwa?
Kwa maana kwamba nyaraka zote zingetunziwa London & Washington DCAngekuwa ni #Niyeye2020 meza ingekuwa nyeupe
Unajua per day yanaingia mangapi!!? Without statistics not right to speak!!??Wacha ushamba wewe huo mlundikano wa mafile hapo unajifanyya huuoni hio ina maanisha jiwee ni mzee wa kuahirisha mamvbo ndio maana yameongezeka kwasababu hayafanyiwi kazi kwa wakati.
Mshamba ni Mr Mzungu anayedhani sifa ya kwanza ya kiongozi wa juu ya nchi ni ubobezi wa matusi, kashfa, kuzuia vioja, udanganyifu, hadaa, na kudhani lugha ya Kiingereza ni "sin qua non" ya utawala fanisi. By the way, Kiingereza chenyewe Mr Mzungu anababiababia tu kama mlenda.Tatizo lugha na ushamba, sasa ataenda wapi kwa mfano na ze ze kibao
Kwani nani kakwambia uifanye iwe issue??? Na, kwa nini umekuja hapa na komenti kibao kama huoni kiwa ni issue??? Halafu, tuambie leo maandamano yako mitaa zipi vile!!??Mkuu wengi wetu hatuna elimu ndo maana nchi yetu inaongozwa kisanii sana,wewe toka lini rais kuongea au kupigia simu na rais mwenzake ikawa issue? Kwamba mimi nione ni issue kubwa kupigiwa simu na majinga mwenzagu?
Mkuu kuna mtu kituko zaidi ya Jiwe?Mshamba ni Mr Mzungu anayedhani sifa ya kwanza ya kiongozi wa juu ya nchi ni ubobezi wa matusi, kashfa, kuzuia vioja, udanganyifu, hadaa, na kudhani lugha ya Kiingereza ni "sin qua non" ya utawala fanisi. By the way, Kiingereza chenyewe Mr Mzungu anababiababia tu kama mlenda.
Limeanzaje?Picha ndio limeanza
Huoni mjomba anaongea na simu zakimataifaLimeanzaje?
Usitegemee ufanisi kwenye huu UJINGA wa kujaza mafaili mezani. Huyu pimbi hata kazi za maofisa wadogo alikuwa anataka afanye mwenyewe. Lazima ufe tuHabari za asubuhi wanajamvi.
Jana zilisambaa picha nyingi zikimuonesha RAIS watu akiwa Ofisini akiongea na Simu aliyopigiwa na Rais Wa China, Picha hizo zilionesha Ofisi iliyojaa mafaili ambayo inayotumiwa na Rais wa Tanzania IKULU CHAMWINO, DODOMA.
Niseme hapa kuwa kiukweli Rais wetu ni Rais wa Wanyonge kwani Ofisi yake ni kama hizi za wakuu na walimu wakuu wa Shule za Msingi Zilizoko Tanzania.
Nachelea kusema kuwa hii inaonesha ni namna gani Rais wetu sio wa vitu vikubwa na ni Rais wa Wanyonge.
Hongera Rais Wetu.
View attachment 1651282