Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 646
- 945
- Thread starter
- #21
sijasema kuwa ni jipya ila nimesema ni hatarimmm,mbona limbwata la tangu enzi na enzi,hukuwa unafahamu hilo mkuu??
sijasema kuwa ni jipya ila nimesema ni hatarimmm,mbona limbwata la tangu enzi na enzi,hukuwa unafahamu hilo mkuu??
Acha fiksi mtu wangu ha ha haKuna brother wangu alikuja kununua SAFE nikamuuliza kwani hamna bank akanijibu la kuwekea boxer
Sent using Damu ya Yesu
Tupe ABC tuwe well informed!Limbwata kali lipo mkoa wa Kagera na Miji ya jirani hapa Rwanda.
Wamelipa jina SHUNTAMA.
Wahaya na wanyarwanda wachache wanalifahamu sana.
Wanaume wanateseka sana, usiombe kukutana na huu mzigo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnasuaji yupoWanawake wa huko kwa ulozi usipime mkuu. Mshukuru Mungu amekujalia machale umeshtuka mapema. Bro alinaswa mpaka sasa nahangaika kumnasua lakin wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna brother wangu alikuja kununua SAFE nikamuuliza kwani hamna bank akanijibu la kuwekea boxer
Sent using Damu ya Yesu