boazmwitira
Member
- Jun 11, 2022
- 47
- 71
Habari Wakuu,
Nimeona ni Vema ni share naye kama Watanzania wezangu Fursa hii Ambayo itakufanya Uingize kila Siku sh 50,000 kwa juhudi zako.
FURSA YENYEWE
Mimi Nashughulika na uchinjaji Wa Wanyama Wa nguruwe na kusambaza Nyama kwenye Mabucha mahotelini na Majikoni Majumbani pia Kwa bei ya Jumla kazi hii ni nzuri Sana na ina hela.
Nataka Nitoe Fursa kwa Watanzania wezangu Kwa Bei ya Jumla Tunauza 8500 1 KG Tafuta wateja wa Nyama iwe kwa Jumla au Rejareja ww mwambia 1KG unauza 8500 Mm takuuzia kwa Sh 8000 inayo baki ni ya kwako Usafiri ni bure na ni juu yangu Kama ukipata Wateja hata wa 4 Ambao kwa ujumla wao wanaweza kuchukua KG 50 kila Siku Hapo wewe utakuwa umeingiza Elf 50000.
Utaingiza hiyo hela kila Siku pale tu mteja wako Atakapo Agiza Usisahau kumwambia tunasambaza bure mpaka ofisini kwake sisi tutachukua order kwako wewe ndo utakuwa na Mawasiliano ha huyo mteja wako
Jinsi ya kupata Wateja ni Rahisi Sana
Anza na mitaa unayo ishi Nenda wanapo uza Kitimoto Zungumza na wausika chukua order una weza pia kutumia social media zako kutangaza Nenda Mahotelini ya kitalii hapa mjini yapo mengi Mabucha sehemu za kuchoma ya Kitimoto iwe kwenye bar au Restaurant.
Tembelee Camp za wachina hawa wanaotengeneza barabara Tafuta connection na muhisika wana kula Sana hii kitu Wanaweza chukua kilo mia baaada ya wiki imeisha Ongea vizur na muhusika ukifanikiwa umetoboa nenda kwenye Viwanda Vinavyo Vimilikiwa na Wachina uko order ziko nyingi pia.
Kumbuka kila Order Unayotoa na share yako ipo Tunapokea Order kutoka kwako Na Usihahau kuwambia Usafiri ni bure mpaka Ofisi kwake au Nyumbani kwake
Tunapatikana Keko Bora Kama Unaelekea Uwanja wa Mkapa na Mbagara Sabasaba
Namba 0656080608 or 0622516506
Nimeona ni Vema ni share naye kama Watanzania wezangu Fursa hii Ambayo itakufanya Uingize kila Siku sh 50,000 kwa juhudi zako.
FURSA YENYEWE
Mimi Nashughulika na uchinjaji Wa Wanyama Wa nguruwe na kusambaza Nyama kwenye Mabucha mahotelini na Majikoni Majumbani pia Kwa bei ya Jumla kazi hii ni nzuri Sana na ina hela.
Nataka Nitoe Fursa kwa Watanzania wezangu Kwa Bei ya Jumla Tunauza 8500 1 KG Tafuta wateja wa Nyama iwe kwa Jumla au Rejareja ww mwambia 1KG unauza 8500 Mm takuuzia kwa Sh 8000 inayo baki ni ya kwako Usafiri ni bure na ni juu yangu Kama ukipata Wateja hata wa 4 Ambao kwa ujumla wao wanaweza kuchukua KG 50 kila Siku Hapo wewe utakuwa umeingiza Elf 50000.
Utaingiza hiyo hela kila Siku pale tu mteja wako Atakapo Agiza Usisahau kumwambia tunasambaza bure mpaka ofisini kwake sisi tutachukua order kwako wewe ndo utakuwa na Mawasiliano ha huyo mteja wako
Jinsi ya kupata Wateja ni Rahisi Sana
Anza na mitaa unayo ishi Nenda wanapo uza Kitimoto Zungumza na wausika chukua order una weza pia kutumia social media zako kutangaza Nenda Mahotelini ya kitalii hapa mjini yapo mengi Mabucha sehemu za kuchoma ya Kitimoto iwe kwenye bar au Restaurant.
Tembelee Camp za wachina hawa wanaotengeneza barabara Tafuta connection na muhisika wana kula Sana hii kitu Wanaweza chukua kilo mia baaada ya wiki imeisha Ongea vizur na muhusika ukifanikiwa umetoboa nenda kwenye Viwanda Vinavyo Vimilikiwa na Wachina uko order ziko nyingi pia.
Kumbuka kila Order Unayotoa na share yako ipo Tunapokea Order kutoka kwako Na Usihahau kuwambia Usafiri ni bure mpaka Ofisi kwake au Nyumbani kwake
Tunapatikana Keko Bora Kama Unaelekea Uwanja wa Mkapa na Mbagara Sabasaba
Namba 0656080608 or 0622516506