Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,562
- 217,897
Ama kweli Shetani hana rafiki .
Hatimaye arejea tena kwenye njaa yake .
Hatimaye arejea tena kwenye njaa yake .
cc britanicca
Wajinga hawa achana nao! Kila kitu kwao ni siasa tu. Hivi ukiwa na mzigo wa kubeba ukimwajiri kibega kuupeleka sehemu fulani na ukamlipa ujira wake mliopatana utakuwa umnawajibika kwa maisha yake yote ya baadae? Haya mawazo ya kijinga yamekolea sana Tanzania. Mtu kama alikuwa kiongozi au msanii na akatumiwa na chama fulani kutekeleza majukumu na kulipwa ujira wake halafu baadae akakwama kimaisha watu wanadhani ni jukumu kwa aliyekuwa amemwajiri kuendelea kumhudumia.Ccm walimtumia kivipi?
Mkuu Mwakibinga mnaye nyie huko, tuwaulize mmemfanya nini kijana wa watuCDM imewaharibia future vijana wadogo wengi tu huko vyuoni! Yuko wapi kinara wa fujo na migomo UDOM bwana Mwakibinga? Huyo Mzee hayo ndo maisha yake ya siku zote,he's nothing to lose.
Tuwekee ya sasa hivi tafadhali.Hii picha ya kitambo kipindi anahojiwa kabla ya kuwa maarufu
mbona picha kama imedownloadiwa mara sana.
Ndio maisha ya ma jah susi hayo.Hahahaha, huyu jamaa si tuliambiwa ni 'Jah Susi' la kimataifa