Me pia ilikua fresh but waliotumia YouTube ndy walikua wanalalamikaMbona Mimi sauti ilikuepo
Nifah vipi kipindi cha big Sunday live unaiangalia?Binafsi Wasafi napenda zile throwback session zao, sio redio wala TV kote wapo vizuri, vipindi vingine sina time navyo naona mauzauza tu![]()
Hii ni mara ya kwanza kuangalia hii channel... Na ndicho nilichokifanya nacho si swala la roho mbaya ukweli usemwe ni udhaifu kipindi kizima cha zaidi ya 40' tena live hakina sauti....Wabongo tuache roho mbaya, nikweli shoo bado ina baadhi changamoto kama sauti. Ila kiukweli lazima tuwapongeze wasafi,show ni ya kijanja sana kuna mapinduzi makubwa kwangu nimeyaona kuanzia stage, performance, na entertainment nyingine nyingi, Show haichoshi.
Big up Wasafi
Umeongea kishabiki Sana Wasafi tv hakukuwa na tatizo la sauti kabisa sauti ilikuwa clear kabisa Kama ulivyoeleza kwenye uzi wako labda useme uko kwenye YouTube ambako me sikuiangalia.Sasa kibakuli anatokea wapi hapo....
Sasa mkuu na waliolalamika nao ni ushabiki alafu ili nifaidike nini mkuu.... Tufanye sound ilikua poa kabisa kiongozi namuonea wivu tu... Ila kama wahusika wapo na wanaona walifanyie kazi.Umeongea kishabiki Sana Wasafi tv hakukuwa na tatizo la sauti kabisa sauti ilikuwa clear kabisa Kama ulivyoeleza kwenye uzi wako labda useme uko kwenye YouTube ambako me sikuiangalia.
Wewe umetudanganya kwa kusema wasafi kulikuwa na tatizo la sound wakati tuliangalia wasafi tv hatukuona Hilo tatizo na sound ilikuwa clear kabisa ungesema specific labda YouTube kulikuwa na Hilo tatizo watu wangekuelewa kwasababu asilimia kubwa humu tumeangalia Wasafi TvSasa mkuu na waliolalamika nao ni ushabiki alafu ili nifaidike nini mkuu.... Tufanye sound ilikua poa kabisa kiongozi namuonea wivu tu... Ila kama wahusika wapo na wanaona walifanyie kazi.
Tuelewane kiongozi youtube naijua usilazimishe niseme unavyojua wewe.... NAAMANISHA CHANEL YA WASAFI KATIKA KING'AMUZI CHA AZAM.... hayo ya yutube ni yako na ungeyasemea kwa muda wako yangu mimi ni hayo na maanisha hayo fungua uzi eleza ukweli mwingine.Wewe umetudanganya kwa kusema wasafi kulikuwa na tatizo la sound wakati tuliangalia wasafi tv hatukuona Hilo tatizo na sound ilikuwa clear kabisa ungesema specific labda YouTube kulikuwa na Hilo tatizo watu wangekuelewa kwasababu asilimia kubwa humu tumeangalia Wasafi Tv
Me nimeangalia kupitia DStv sijaona Hilo tatizo.Tuelewane kiongozi youtube naijua usilazimishe niseme unavyojua wewe.... NAAMANISHA CHANEL YA WASAFI KATIKA KING'AMUZI CHA AZAM.... hayo ya yutube ni yako na ungeyasemea kwa muda wako yangu mimi ni hayo na maanisha hayo fungua uzi eleza ukweli mwingine.