Hii ndio sababu ya sisi Yanga kutojumuishwa African Super League ingawa tuna sifa ya kuwemo

Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
Mambo Mtani Mrembo?

Nasubiri ahadi yangu kwa hamu sana leo hii ikiwa Yanga atatangaza ubingwa wa NBC PL 2022/2023, nimekaa pale

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.

Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.

Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.

Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.

Vya uji?
 
Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,

Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi

Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........

TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO

View attachment 2620393
Wakati huo Yanga haikuwa vizuri. Mafanikio ya msimu mmoja yasingebali kila kitu
 
nimecheka sana aiseeeeehhhh

Sio hamtakiwi kushiriki kwa hiari yenu kenge nyie,HAMNA SIFA ZA KUSHIRIKI


What is the African Super League?
The African Super League is a tournament involving elite African football clubs.

The motive behind this new vision is the massive financial returns that will exceed the barrier of 200 million dollars, with the drive to generate close to $3bn in revenue.

This sum of money is believed to be used to develop and improve football stadia, infrastructure and the promotion of football in Africa.

Also, the participating clubs would be obliged to meet specific criteria with respect to youth and women’s football development in order to stay in.
Ndio nasema mkishiriki nyinyi wenye vigezo inatosha.
Sisi tunasubiri mashindano mengine ya CAF kwakua tunatofautiana vipaumbele.
 
Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,

Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi

Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........

TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO

View attachment 2620393
Tuache ushabiki wa kishamba, Simba imestahili kuwa hapo kwa muda walau walijitahidi kufika robo fainali. Sisi tumekuwa imara kuanzia msimu uliopita na imara zaidi kimataifa msimu huu. Hebu tuache kusema vibaya watu bila sababu. Kikubwa timu yangu ya Yanga iwekeze zaidi na iwe na muendelezo mzuri kimataifa, Babra is a Super women, Simba wanatamani uwepo wake
 
Kama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.

Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.

Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.

Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.
utopolo hata mkipewa mapumziko ya mwaka mzima mtaendelea kucheza shirikisho tu.

shirikisho na preliminary stages za caf champions league ndo size ya utopolo msisahau hilo, hakuna cha recovery wala nini, your destiny is confederation cup hakuna mahala mnaweza kwenda.
 
nimecheka sana aiseeeeehhhh

Sio hamtakiwi kushiriki kwa hiari yenu kenge nyie,HAMNA SIFA ZA KUSHIRIKI


What is the African Super League?
The African Super League is a tournament involving elite African football clubs.

The motive behind this new vision is the massive financial returns that will exceed the barrier of 200 million dollars, with the drive to generate close to $3bn in revenue.

This sum of money is believed to be used to develop and improve football stadia, infrastructure and the promotion of football in Africa.

Also, the participating clubs would be obliged to meet specific criteria with respect to youth and women’s football development in order to stay in.
wameelewa
 
caf gani wewee! caf champions league ni group stage ambayo ni nightmare kwa utopwinyo
Hongereni Kwa kuwa wabobezi wa robo fainali, timu zinatofautiana Malengo.
Wengine wanafikiria kutwaa makombe, wengine kombe lao ni robo fainali
 
Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,

Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi

Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........

TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO

View attachment 2620393
Mkuu
Kwanza ncheke...

Sikutegemea Uzi kama huu maana ni full kujiabisha tu. Kwanza tungeangazia vigezo vilivotumika Hadi kupata timu nane zilizoshiriki hiyo super League...
Kiukweli Simba alikua anastahili kuliko Sisi Yanga. Usiangalie mafanikio ya Yanga msimu huu na uliopita ambapo ndo Kwanza tulikua bado tunaunda timu. Turudi nyuma Miaka mitano. Simba amefanya maajabu Sana kwenye huu ukanda wetu wa Afrika mashariki na hiyo ndo imempa nafasi adimu ya kushiriki michuano hiyo.

Haimanishi wewe umeonewa la hasha! Kuna kilabu ngapi nzuri tu zinazofanya vizuri kwenye michuano ya CAF na bado hazitashiriki? Kwa hiyo just relax bado michuano ipo stage ya awali kikubwa Yanga tupambane ili ikija phase ya pili na Sisi tuwemo...

Usijione mnyonhe kumbuka kuna watabe kibao tu tena wenye makombe ya CAF hawatashiriki. Mfano Raja Casablanca, Zamalek, Orlando pirates, Kaizer chief, Barkane, Al hilal na wengine kibao. So just relax
 
Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,

Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi

Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........

TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO

View attachment 2620393
Unatumia makalio kufikiri!

Kwamba Simba ndiyo walioipangia au kuielekeza CAF .

Yaani utopolo utoke huko nyumbani tu leo , miaka 20+ hujawahi kucheza hata makundi ya ndondo, unataka akina Zamaleki, pyramid, kaizee, Orlando wabaki wewe uende, kwa rekodi zipi?

Simba kafanya Jambo kwa misimu 5,Afrika ikaiwajua Simba.

Mambo so marahisi hivyo.

Klabu bingwa ulishindwa kupenya hata makundi halafu unajiona bora kabisa.

Hakuna utopolo/zuzu mwenye akili.
 
Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
Ingekuwa hivyo BERKANE, RAJA, na ZAMALEK wangeshiriki, tumia akili na sio Mk....ndu kufikiri.
 
Kama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.

Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.

Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.

Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.
Chuki itakuua ndugu yangu, watalaamu ndio wanajua nani anastahili kushiriki na nani hastahili kushiriki kuwa mpole

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Tuache ushabiki wa kishamba, Simba imestahili kuwa hapo kwa muda walau walijitahidi kufika robo fainali. Sisi tumekuwa imara kuanzia msimu uliopita na imara zaidi kimataifa msimu huu. Hebu tuache kusema vibaya watu bila sababu. Kikubwa timu yangu ya Yanga iwekeze zaidi na iwe na muendelezo mzuri kimataifa, Babra is a Super women, Simba wanatamani uwepo wake
Kongole sana mkuu kwa kuelewa kwa haraka

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom