Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 6,140
- 12,604
Mambo Mtani Mrembo?Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
Nasubiri ahadi yangu kwa hamu sana leo hii ikiwa Yanga atatangaza ubingwa wa NBC PL 2022/2023, nimekaa pale
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app