Hii ndio sababu ya sisi Yanga kutojumuishwa African Super League ingawa tuna sifa ya kuwemo

Unai Emery

Member
Nov 19, 2019
79
62
Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,

Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi

Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........

TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO

images(1).jpg
 
Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
 
Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,

Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi


Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........

TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO
Hiyo performance ya Yanga si imeonekana kipindi hiki cha mwisho wa msimu? Kwani Wakati ule wanafanya kikao cha maamuzi hao waliingia na takwimu za msimu huu?
 
Kama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.

Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.

Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.

Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.
 
Kama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.

Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.

Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.

Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.
nimecheka sana aiseeeeehhhh

Sio hamtakiwi kushiriki kwa hiari yenu kenge nyie,HAMNA SIFA ZA KUSHIRIKI


What is the African Super League?
The African Super League is a tournament involving elite African football clubs.

The motive behind this new vision is the massive financial returns that will exceed the barrier of 200 million dollars, with the drive to generate close to $3bn in revenue.

This sum of money is believed to be used to develop and improve football stadia, infrastructure and the promotion of football in Africa.

Also, the participating clubs would be obliged to meet specific criteria with respect to youth and women’s football development in order to stay in.
 
Kama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.

Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.

Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.

Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.
Hii ligi ina pesa nyingi wewe acha masihara, washiriki wanapewa 5b kila mmoja. Bingwa anapewa 23b
 
Back
Top Bottom