Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,994
- 453,837
Sanaaaa anaweza kukuua huku anakuchekeaNi kweli shunie....kumkwaza mtu ambae kila siku ndio anakupikia,anakufulia,anakufanya upendeze mtaani ni mbaya sana...
Sanaaaa anaweza kukuua huku anakuchekeaNi kweli shunie....kumkwaza mtu ambae kila siku ndio anakupikia,anakufulia,anakufanya upendeze mtaani ni mbaya sana...
Yes babeBabe
Ndio maana unaambiwa mkeo ni adui aliyeficha makucha tuSanaaaa anaweza kukuua huku anakuchekea
Yaan mtupende tu jamaniNdio maana unaambiwa mkeo ni adui aliyeficha makucha tu
Tutawapenda..mfanye tu right choices basiYaan mtupende tu jamani
Kwanini lakini?Yes babe
I mic u today... Nilikua bize kidogo my loveKwanini lakini?
Ndo unanifanyia nini kule tsap jaman?mbona kutaka kunirusha roho mtoto wa mwanaume mwenzio?I mic u today... Nilikua bize kidogo my love
Sio tu kukupikia anakuzalia na watoto wazuri ni bora kumheshimu sana aiseeNi kweli shunie....kumkwaza mtu ambae kila siku ndio anakupikia,anakufulia,anakufanya upendeze mtaani ni mbaya sana...
Nakujaa hukooNdo unanifanyia nini kule tsap jaman?mbona kutaka kunirusha roho mtoto wa mwanaume mwenzio?
Kweli mkuuSio tu kukupikia anakuzalia na watoto wazuri ni bora kumheshimu sana aisee
Mana sisi tunawapikia tumesha wajua weakness zenu basi tu huwahurumiaKweli mkuu
Jamani atokee mremb mmoja wa jf nimpende kama mtoa mada alivoelekeza
Muendelee na moyo huo huo..tunawapends sana msituueMana sisi tunawapikia tumesha wajua weakness zenu basi tu huwahurumia
WanakujaJamani atokee mremb mmoja wa jf nimpende kama mtoa mada alivoelekeza