Kwani hujui Kagame alikuwa na Museven msituni?Huyo mama ana sura ya kitutsi!!
Itakua mtu wa Rwanda.
Kuibia serikali.Wao walitakiwa wafanye kazi gani?
sahihiHuyo mama ana sura ya kitutsi!
Itakua mtu wa Rwanda.
Kikwete Jnr ni Deputy Minister pia.Hata hapa hakuna tofauti .
Hatuchekani.
Mwinyi Rais wa Zanzibar, Rais wa Tanzania.
Mwinyi Jnr Rais wa Zanzibar,.......
Karume Rais wa Zanzibar,
Karume Jnr Rais wa Zanzibar.
Kikwete Rais wa Tanzania.
Mrs Kikwete Mbunge.
Kikwete jnr Mbunge.
Wengineo kama kawawa,Pinda, na wengineo.
Watoto wao wamejaa taasisi zote zenye mishahara minono, wizarani, taasisi nyeti na channel zote za pesa ni zao.
Mzee chikofira naye hatari!-Baba (Yoweri Museveni) ni Rais
-Mama (Janeth Museveni) ni Waziri wa Elimu
-Mtoto (Muhoozi Kainerugaba) ni Mkuu wa Majeshi, CDF
Waafrika bado tuna safari ndefu sana.
Yaani hapa Tanzania HUWEZI ukafungua biashara YEYOTE ukafanikiwa bila haya mabeberu kuwa na mkono wao.Kikwete Jnr ni Deputy Minister pia.
Kitutsi????Huyo mama ana sura ya kitutsi!
Itakua mtu wa Rwanda.