Hii ndio miamba ya Africa

Hii ndio miamba ya Africa

IKUNGURU IJIRU CHUKU

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2021
Posts
484
Reaction score
547
564061_159719187497807_241123378_n.jpg
539734_157538507715875_89740653_n.jpg
531357_162305910572468_2000727615_n.jpg
527178_168164226653303_123194139_n.jpg
526979_169316499871409_827935917_n.jpg
 
Miamba ya Africa Kwa lipi? Hakuna mwamba wwte hapo , just series of leadership kitu ambacho lazima kiwepo whatever the case, inashangaza hata kikwete eti naye umemweka kama mwamba , are you serious? ...!! Wazungu walielewana tuu kuyapa makoloni Uhuru, hasa baada ya WW2 disaster ,ndani ya mda mfupi waliamua kutoa Uhuru Kwa makoloni Yao ....!! Kama kuna mwamba basi aliyeipa nchi yake Uhuru kuanzia 1930 backwards ....!!! Hao ni wanaharakat tu walioongoza kuzitafutia Uhuru nchi zao kupitia mlango ambao ulikuwa wazi tayar ....
 
Mimi wa 2015 simjui hata mmoja hapo, wacha nipite kimya kimya.
 
Sijamuona kamanda wa muda wote, msomi kwa marais wote, mtaalam wa kuitwa Robert Mugabe.
 
Huyo alievaa sawarili ya bluu nae mwamba😂
 
Back
Top Bottom