Hii ndio Kanda ya Kaskazini

Hii ndio Kanda ya Kaskazini

Mkuu,
Kariakoo kipindi cha nyuma ilishikwa na wahindi, maduka mengi ya spea, vifaa vya ujenzi, nguo nk
Sasahivi kariakoo kwa asilimia kubwa imeshikwa na Wakinga.

Haimaanishi kwamba wahindi wamefilisika la hasha! wengi wao wameshavuka hiyo stage na kwasasa wanamiliki makampuni makubwa ya kusafirisha mizigo na viwanda(producers) na wenye maduka ni wateja wao.

Nina imani umenielewa.
Mkuu hii michunga ngombe n mishambAa ka ngombe
 
Hao ni wakimbizi wa ndani ya nchi, yani kwenu kuzuri alafu uende ishi mapori ya pwani kama si ujuha ni nini? Hakuna fursa zozote huko ndio maana hawakai.Shinyanga mjini walijaa sana miaka 90 sasa hivi kila duka ni la muha na msukuma hawana tena pa kuwaibia watu, wasukuma walishawashtukia hao majizi!!!!
Wivu tu huna lolote kunguni ww ukisikia mchaga unakufa ganzi nn?
 
Kutoka kushoto ni Bosco Beda Kyara na Gabriel Jerome Mombuli,wanashikiwa kwa makosa mawili,unyang'anyi wa kutumia silaha na kupatikana na mali inayoamini kuwa ni ya wizi.

Hilo shangingi ni Nissan Patrol V8,Mali ya Kampuni ya Nisk Capital Ltd ya Kenya(siyo la Ikulu ya Kernya kama ilivyoripotiwa),liliibwa Agosti 19 mwaka huu Nairobi Kenya,hawa jamaa ndo wazee wa kupokea na kuuza.

Kanda ya kaskazini mambo ni Motooooooooooooooo
Haijalishi,naona haters bado mpo
 
Raha ya hii nchi kwa sahivi ukabila na ukanda hauna nafasi kubwa sana, Tumeishi kwa kupendana na kuoleana. Na uskakazini wangu nimeoa usukumani, sengerema na Dada zetu wengi tu wameolewa sehemu karibu zote Tanzania hii. Ubaguzi usiyo na maana tusiupe nafasi kubwa sana.
Acha siasa,ukabila ni 100%
 
Hao ni wakimbizi wa ndani ya nchi, yani kwenu kuzuri alafu uende ishi mapori ya pwani kama si ujuha ni nini? Hakuna fursa zozote huko ndio maana hawakai.Shinyanga mjini walijaa sana miaka 90 sasa hivi kila duka ni la muha na msukuma hawana tena pa kuwaibia watu, wasukuma walishawashtukia hao majizi!!!!
Endelea kukaa ndani ya pipa hapo Chato,hata wa Msoga alishindwa
 
Mkuu,
Kariakoo kipindi cha nyuma ilishikwa na wahindi, maduka mengi ya spea, vifaa vya ujenzi, nguo nk
Sasahivi kariakoo kwa asilimia kubwa imeshikwa na Wakinga.

Haimaanishi kwamba wahindi wamefilisika la hasha! wengi wao wameshavuka hiyo stage na kwasasa wanamiliki makampuni makubwa ya kusafirisha mizigo na viwanda(producers) na wenye maduka ni wateja wao.

Nina imani umenielewa.
Sio Kariakoo tuu,aende Miji yote kuanzia Moshi
 
Mimi hata sio wa huko ila haimaanishi siwezi kusema kitu from different angles kulingana na experience I'm from Singida.

Hyo ya kuwapoteza wanaume sidhani ka ina ukweli maana sijawahi kuona case ka hyo,hafu nyie wanaume ndo hujipoteza kwa Mipango kando haiwezekani Mali tuchume wote tukipata wewe ufikirie ubinafsi wako bila kujali watoto hafu uachwe, nadhani wanaowatanguliza wenzi wao hu angalia future ya Mali na watoto, wakati nyie wanaume hujiwazia ubinafsi tu.


Yeah nchi yetu ni moja na kila kanda ina muhimu wake kwa nchi yetu u tofauti,tofauti ndo hufanya nchi yetu iwe moja, kila kanda ina bora wake na udhaifu wake.
uko vizuri
 
Hao ni wakimbizi wa ndani ya nchi, yani kwenu kuzuri alafu uende ishi mapori ya pwani kama si ujuha ni nini? Hakuna fursa zozote huko ndio maana hawakai.Shinyanga mjini walijaa sana miaka 90 sasa hivi kila duka ni la muha na msukuma hawana tena pa kuwaibia watu, wasukuma walishawashtukia hao majizi!!!!
Ndugu umepovuka lakini yafaa utambue kuwa mtu mwenye kuwaza mbali hakumbatii kukaa sehemu moja akiamini atatosheka pale bali hujitanua kwa kwenda huku na kule kutafuta zaidi na kujiwekeza zaidi.
Mfano mzuri ona wazungu na wachina walivyojaa Africa na sehemu zingine sio kwamba kwao hakuna fursa laa hasha wameshazitumia na wanazitafuta sehemu nyingine.Unapoona biashara ya madiuka imeshikiliwa na waha na wasukuma kama unavyodai elewa wenzako wameshamove kwenye mambo mengine makubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom