Hii ndio hali halisi ya mambo huko Nachingwea

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,722
218,286
Huku viongozi wa Nchi wakiendelea kusafiri na Mamia ya Wapambe kwa gharama za kutisha, huko Kwao Nachingwea hali ndio kama mnavyoiona.

Screenshot_2023-10-12-16-51-13-1.png


Tunashauri kwamba badala ya viongozi kusafiri na Umati wa Chawa wao , ni vema chawa hao wakapunguzwa ili hela itakayookolewa irekebishe umasikini huu.

Screenshot_2023-10-12-12-13-58-1.png
 
Huku viongozi wa Nchi wakiendelea kusafiri na Mamia ya Wapambe kwa gharama za kutisha, huko Kwao Nachingwea hali ndio kama mnavyoiona.

View attachment 2780027

Tunashauri kwamba badala ya viongozi kusafiri na Umati wa Chawa wao , ni vema chawa hao wakapunguzwa ili hela itakayookolewa irekebishe umasikini huu.

View attachment 2780030
Kwani mbunge wa hapa yuko wapi? (in Jiwe’s voice)
 
Lakini eneo hilo si kuna diwani? Akienda kwenye viKao halmashauri anajadili mambo gani? Si kuna mkurugenzi pia?
 
Back
Top Bottom