Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Aiseee... mimi sio chadema wala CCM lakini ninaamini wewe ni ZUZU! Serikali ndio ina wajibu wa kuleta maendeleo sio mbunge, maana serikali ndio yenye kodi na mapato!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuwa raisi ningemtumia Sana tundu lissu,ningechukua mawzo yake na kuyafanyia kazi kwasababu Ni mtanzania mwenzangu,Sasa huyu jiwe anamtia risasi,ila akili za jiwe sijui anafikiri kwa kutumia makalio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Very inept argument. Truly inept. So inept it makes one almost feel sorry for its scribe.
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Taabu na kilio ni cha nchi nzima na katika majimbo yote ya wapinzani na ya CCM,ila katika majimbo ya CCM ni marufuku wabunge wa CCM kieleza taabu wanazopata wapiga kura wao, wanatakiwa waunge mkono hali zote, hali ya raha na hali ya shida, hali zote wanatakiwa waseme sawa mzee.
 
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.

Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.

Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.

Dawa ya hoja ni hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlishamshindwa kwa hoja tangu siku nyingi na mkaona njia sahihi kumjibu ni kutumia risasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.

Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.

Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.

Dawa ya hoja ni hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha kuwa adui wakisiasa na kuwa adui wa state. Adui wakisia anajibiwa kisiasa ila Lissu kutoka siasa mpaka kuwa adui wa state.. Mm mama mkanye mwanao
 
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.

Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.

Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.

Dawa ya hoja ni hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Lissu hana hoja

labda unachukulia neno "hoja" kama ni "hoja"

kumtuhumu mtu, na kujiaminisha kuwa alitaka kukuua, na ukaanza kutangaza kwa watu, kila mahali tena nje ya nchi ..haiwi hoja

hakuna wa kumjibu, atapewa airtime mpaka mwezini, sayari ya mars na kila mahali dunia hii. kisha atakaa kimya au hata akiendelea hakuna wa kushtuka. watu wanaamka wanaenda kazini, wanazaana, wanaishi na JPM bado rais kwa miaka saba ijayo

anachofanya Lissu anajifunga, sasa maadamu ndio mmelelewa kutosikia ushauri anaachwa

ndio mpuuzi mmoja anasema ajibiwe kwa hoja, hata asipojibiwa kama ana hoja kweli nini kitatokea??
 
Lumumba nzima si baba si watoto hakuna MTU mwenye uwezo wa kujibu hoja yeyeto,zaidi ya matusi,zengwe,kufungiwa biashara, watu wasiojulikana,zaidi watakimbilia visivyo mfano msukuma ushoga kumbe hoja imeandikwa kwa kiingereza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MTU yeyeto makini na smart upenda kukosolewa Zaid kuliko kusifiwa,labda tu kama uliruka stage,akusifiaye akupendi anaangalia tumbo lake,
Ningekuwa raisi ningemtumia Sana tundu lissu,ningechukua mawzo yake na kuyafanyia kazi kwasababu Ni mtanzania mwenzangu,Sasa huyu jiwe anamtia risasi,ila akili za jiwe sijui anafikiri kwa kutumia makalio

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamemshindwa ndkmaana walitamani awahi juu...sahivi hatuna wajenga hoja bali wababe nyang'anya pesa watu jenga mavitu,nyang'anya wapanga bajeti kaziyao panga mwenyewe kibabe.
 
Back
Top Bottom