Hii ndio Bei ya unga wa sembe na dona nilipo

gwambali

JF-Expert Member
May 10, 2011
230
76
Habari wakuu, hali ya maisha imezidi kuwa mbaya kiuchumia kwa baadhi ya raia wengi wa nchi hii. Pesa ikiwa haipatikani na ikipatikana hamna cha maana unachoweza kuifanyia...

Nimekuwa nasikia kupanda kwa unga tu, jana nimepita mashine kununua unga kilo 25 kwa bei ya jumla na kukuta unga umepanda bei kwa asilimia kubwa mwanzo unga kilo 25 tulikuwa tunanunua kwa sh.32.000 ila kwa sasa umefika sh 37000...

Bei ya reja reja kwa eneo nililopo kilo moja ni 1700.. Itakuwa vyema uzi huu ukatumika kupeana bei ya chakula hiki muhimu kwa watanzania wengi.
adfba84f3f18c8ee03dc844ec17d2a4c.jpg
e8ab08f50309bbc0f9692d43229857a5.jpg
019a2a868b6d355f5f05284cbc510966.jpg
 
"Wakulima pandisheni bei mnavyotaka" kudadeki mtu aje kuniita mchochezi aone, mkubwa wako alichosema nikisema mimi uniite mchochezi!!!
 
Kila wiki lazima Roli Tani 15 lipeleke mzigo wa mchere huko, halafu unaleta habari za ki Abunuasi hapa!
Shwain!
ulizia kalya, karema sibwesa na huko kirando mashamba ya mpunga yapo kwa kiwango gani

nasema ulizia kwa wanaojua, then tukana tena,
 
Habari wakuu, hali ya maisha imezidi kuwa mbaya kiuchumia kwa baadhi ya raia wengi wa nchi hii. Pesa ikiwa haipatikani na ikipatikana hamna cha maana unachoweza kuifanyia...

Nimekuwa nasikia kupanda kwa unga tu, jana nimepita mashine kununua unga kilo 25 kwa bei ya jumla na kukuta unga umepanda bei kwa asilimia kubwa mwanzo unga kilo 25 tulikuwa tunanunua kwa sh.32.000 ila kwa sasa umefika sh 37000...

Bei ya reja reja kwa eneo nililopo kilo moja ni 1700.. Itakuwa vyema uzi huu ukatumika kupeana bei ya chakula hiki muhimu kwa watanzania wengi.
adfba84f3f18c8ee03dc844ec17d2a4c.jpg
e8ab08f50309bbc0f9692d43229857a5.jpg
019a2a868b6d355f5f05284cbc510966.jpg
hata mchele ni bei hiyohiyo so bora tuanze kupiga mpunga kitenesi
 
Back
Top Bottom