Hii ndio Bei ya unga wa sembe na dona nilipo

Hii ndio Bei ya unga wa sembe na dona nilipo

njaa inaua.....!!
wakuu wanataka kusikia watu wanakufa ndio wata declare njaa ila bei kupanda ya chakula hawasemi

Kilo ya njegele ni sawa kabisa na kilo ya nyama 5000 hadi 6000
 
Nadhani hii itahamasisha vijana wengi zaidi kushiriki kilimo maanake ilikuwa wanasingizia hakuna masoko.
 
Nadhani hii itahamasisha vijana wengi zaidi kushiriki kilimo maanake ilikuwa wanasingizia hakuna masoko.
ni msimu huu tu nenda shambani uone bei zinavyo shuka mwaka kesho,kilimo sio sport sport inahitaji kuchungulia kesho kwanza.
 
Wakati munauza mahindi mulizani nani aje awape chakula endeleeni kusoma namba daadeki
Hapana ndugu, umesema wakati mnauza mahindi bila kutaja kundi lipi,hebu kuwa na utu.Tanzania wanaolima mahindi kwa kufanya biashara ni very limited.Sio wote wanaoteseka ni wakulima wa nafaka kama mahindi au mchele,si wote wanaoumia ni wakulima, wengine walilazimika kuuza kila kilicho chao ili tu wajikwamue angalau,nawengine walipeleka wagonjwa INDIA kwa kuuza mazao.Uwe na utu basi hata kama hujapata malezi bora basi jifunze kwa wengine.Mimi sina njaa ila naona majirani zangu wanavyoishi kwa ugumu
 
wakuu wanataka kusikia watu wanakufa ndio wata declare njaa ila bei kupanda ya chakula hawasemi

Kilo ya njegele ni sawa kabisa na kilo ya nyama 5000 hadi 6000
duuuuh njegere izo au?
 
Ni kwaida kwa kipindi hiki cha masika inapoanza,so msiwe na shaka itashuka tuu wakuu
 
[QUOTE i="Mwanga Lutila, post: 19472233, member: 397989"]Tunakoendea Ugali utakuwa ni anasa.

Bora ninunue mchele.

Kilo 50 za sabuni ni sh. 12,500/=, bora kujenga nyumba
 
7bb605653ed8e5868327aa70e08e161e.jpg
 
Back
Top Bottom