Paschal Mayalla: Mwigulu Nchemba hakufurahia Majaliwa, Warioba na Pinda kushangiliwa kwenye mazishi ya Kardinali Pengo

Paschal Mayalla: Mwigulu Nchemba hakufurahia Majaliwa, Warioba na Pinda kushangiliwa kwenye mazishi ya Kardinali Pengo

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
"Na nikamsikia jana mheshimiwa Waziri Mkuu akisema mimi sibabaiki mambo ya kupendwa na kushangiliwa, mimi sifanyi vitu ili nishangiliwe...yaani hiyo maana yake kwa sisi wanasaikolojia ina maana aliumia, yaani mtu anashangiliwa, Waziri Mkuu mstaafu halafu mimi nipo sishangiliwi! yaani sasa ili kuonesha kwamba sijaumia yaani ile kwamba mimi sijali", - Mayalla

 
"Na nikamsikia jana mheshimiwa Waziri Mkuu akisema mimi sibabaiki mambo ya kupendwa na kushangiliwa, mimi sifanyi vitu ili nishangiliwe...yaani hiyo maana yake kwa sisi wanasaikolojia ina maana aliumia, yaani mtu anashangiliwa, Waziri Mkuu mstaafu halafu mimi nipo sishangiliwi! yaani sasa ili kuonesha kwamba sijaumia yaani ile kwamba mimi sijali", - Mayalla
Mwigulu Nchemba ana wivu wa kike.
 
"Na nikamsikia jana mheshimiwa Waziri Mkuu akisema mimi sibabaiki mambo ya kupendwa na kushangiliwa, mimi sifanyi vitu ili nishangiliwe...yaani hiyo maana yake kwa sisi wanasaikolojia ina maana aliumia, yaani mtu anashangiliwa, Waziri Mkuu mstaafu halafu mimi nipo sishangiliwi! yaani sasa ili kuonesha kwamba sijaumia yaani ile kwamba mimi sijali", - Mayalla
Hana akili kwani lazima ashangiliwe?

Zero social and emotional intelligence,ajifunze Kwa boss wake Rais Samia hanaga mda wa kutafuta kiki na appreciation.

Watu dizaini ya kina Mwigulu wanakuaga makatili na hii pia ni kutokana na historia yake ya makuzi.
 

View: https://www.instagram.com/reel/DVYodj1ihT5/?igsh=djZ0bzRrM2dsZmYw

Mzee Mayalla kapiga za uso bila huruma😂😂😂😂😂😂.

Pascal Mayalla jiandae kuitwa kamati ya maadili tena😂😂😂.

Mwigulu katika hili ni mithili ya Sungura na ndizi, sizitaki mbichi hizi😂😂.
1772470752681.jpeg
 
"Na nikamsikia jana mheshimiwa Waziri Mkuu akisema mimi sibabaiki mambo ya kupendwa na kushangiliwa, mimi sifanyi vitu ili nishangiliwe...yaani hiyo maana yake kwa sisi wanasaikolojia ina maana aliumia, yaani mtu anashangiliwa, Waziri Mkuu mstaafu halafu mimi nipo sishangiliwi! yaani sasa ili kuonesha kwamba sijaumia yaani ile kwamba mimi sijali", - Mayalla
Mwigulu amekuwa kama Magufuli, hakuna kitu kilikuwa kinamuuma kama kuona wapinzani wanashangiliwa.
 
Mkuu Pascal Mayalla unaanzaje kumdharirisha mjomba wetu mnyiramba aliyerithi jina letu la kisukuma "ng'higulu"!

Haujui kwamba kutokana na kurithi kwake jina letu, limempa baraka akasoma na kusoma mpaka akatunukiwa ka PHD na uwaziri mkuu!?
 
Back
Top Bottom