kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,208
- 18,476
nakubaliana na weweNamba 8
Narudia ni tabia mbaya
nakubaliana na weweNamba 8
Narudia ni tabia mbaya
kuzamishwa chumvini,kupitishwa mlango wanyuma, kwa wanaume/kulishwa muhogo, kunyweshwa maziwa nk. kwa wanawake...Fafanua 3 tafadhar
Ukiorodhesha kwa nia mbaya ni tabia mbaya, ila kwa nia njema ni jambo zuri.Kuorodhesha tabia mbaya.. nayo ni tabia mbaya..
kwenye kisanduku cha kura!!wapi mkuuu?
Unacho hapa karibu ?kwenye kisanduku cha kura!!
We, ndio mwanasiasa na ndie unaepaswa kujua kilipo.Unacho hapa karibu ?
Ngoja tuulize hapaWe, ndio mwanasiasa na ndie unaepaswa kujua kilipo.
kila la kheri mkuu..Ngoja tuulize hapa