Hapo ni ile ngome ya zamani ya wareno kule mombasa
inayoitwa Fort Jesus.
Sasa wao wanaweka tahadhari yakuwa mwangalifu kwa
wale wanaoogelea maeneo hayo kwa kulikejeli Jina lililo
kuu kuliko majina yote (Jina La Yesu). (phil 2:9-11).
May the Lord shine light on them that they may see the
truth. Amen
Mkuu umeenda mbali sana, wala hawakuwa na dhamira hiyo ya kumkashifu masiya wetu Yesu kristu, ni vile wanatahadharisha kuwa ukizama hapo hakuna mtu wa kuja kukuokoa!
Kuna NGome inaitwa Fort Jesus yaani Ngome ya YESU kwa wale wana historia sikumbuki ipo Mombasa sijui wapi, lkn Nadhani huo ni ujumbe kutoka Fort JEsus kwamba unapokuwa unaogelea kuwa makini hakuna watu wa msaada (LIFEGUARD) maeneo hayooo