Hii nayo imekaaje?

Zed

JF-Expert Member
Mar 28, 2009
435
253
AM%2B3.jpg
 
Ananikumbusha kiranja wetu Moshi Tech alivyokuwa mnafika kwa Headmaster! Nimejaribu kupata kujua yeye ni nani bila mafanikio! Lakini sio tu Mkulu anamshangaa hata wengine. Kama picha inayoweza kuonyesha unafiki bila maneno basi hii ni No1.
 
hahahahha duhhh comment za waliochangia hapo awali ..
vichekesho kwa kweli..watanzania kwa kuponda tumejaliwa lohhh
 
Ananikumbusha kiranja wetu Moshi Tech alivyokuwa mnafika kwa Headmaster! Nimejaribu kupata kujua yeye ni nani bila mafanikio! Lakini sio tu Mkulu anamshangaa hata wengine. Kama picha inayoweza kuonyesha unafiki bila maneno basi hii ni No1.

nani huyo kiranja . Hapo m. Tech ? Miaka gani hiyo mpande alikuwepo. Au ni msöngela nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom