Hii Mpya;muhimu Soma

mimi pia nilipita Game na nimeona maziwa yanauzwa tena bei rahisi sana kopo kubwa ni 20,000 tu, wanataka wamalize stock na wasilete tena, walikuwa wameziba ile logo ya kitoto na nikawauliza na wakasema serikali imekataza.
 
Mama zetu wa sasa hawataki KUZAA kwa njia za KAWAIDA wala KUNYONYESHA. Tuendelee tu kugombea haya maziwa kama mpira wa kona!
 
Mama zetu wa sasa hawataki KUZAA kwa njia za KAWAIDA wala KUNYONYESHA. Tuendelee tu kugombea haya maziwa kama mpira wa kona!

Sawa lakini haujatueleza hicho kikatuni/picha ina mahusiano gani na kilichomo ndani?
 
Jaribu GAME, japo ni expensive kuliko kwenye maduka ya kawaida, but I wonder kama yatakuwepo bado kutokana na demand kuwa kubwa.

Mama, asante kwa ushauri kwa wakazi wa Dar ( Game ni duka liliopo Dar) Na wa mikoani wafanyeje waungwana?....labda maziwa ya ng'ombe yatafaa?? au??
 
maziwa freshi ya ngombe wetu!!! mmmhh
ngombe wenyewe madaktari feki wa mifugo wanapewa dawa zote zilizoingia nchini, bila kujali ugonjwa, wanakamuliwa na maziwa kuuzwa bila kupimwa, hapo ndio bomu kabisaaa.
 
Maamuzi mengine hata yanatia kichefuchefu kuyasikia, hili hata linapita lile la Mama Ghasia (soma fujo na ukosefu wa amani) la kutaka wanawake wavae nguo za utamaduni wa kiarabu......or whatver she meant

Grrrrrrrrrrrr
Halafu hili ndilo linalonikera,Huyu Mama siku nikukatana naye uso kwa uso nitamwambia asituletee ambo yake ya Kidini,abaki na imani yake tu kama watanzania wengine..

Huu ndiyoo ubaya wa viongzoi wa kubebwa kwa mantiki ya Ushemeji.
 
RECALL FROM DISTRIBUTION: LACTOGEN 1 INFANT FORMULA BATCH CODE 73100179 L1 MANUFACTURED IN SOUTH AFRICA



Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) would like to bring to the attention of the general public that a milk product namely LACTOGEN 1 with batch code 73100179 L1 which was manufactured and packed in 400g tins in South Africa on the 6th November 2007 is unfit for human consumption and should be withdrawn from circulation.



This recall echoes that of Nestle South Africa which discovered the product to contain excessive levels of iron, copper and zinc a result of which may be injurious to the health of the intended customer. While Nestle South Africa claims that the product was distributed only in South Africa, Botswana, and Zambia, it may have got into Tanzania market through informal routes.



TFDA therefore wishes to alert the general public of the product and call upon stakeholders to handover such food product to the nearest local council health offices. Wholesalers, retailers and other food distributors with stocks of such food product should stop selling them and return the same to their agents who in turn should inform TFDA for further action. You may also visit our offices at Mabibo-External, Ubungo or contact us through the following address;



The Director General,

Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA),

Off Mandela Road,

Mabibo-External,

P. O. Box 77150, Dar Es Salaam

Phone: +255 22 2450512 / 2450751 / 2452108

Fax: + 255 222 450793

Email: info@tfda.or.tz

Website: www.tfda.or.tz


Na mtuletee habari mpya kuhusu hizo S 26
 
Maelezo yangu hayana kikatuni/picha!

No,sio kwenye maelezo yako wewe,ila kutokana na maelezo yako ya post ya kwanza ina onyesha kukubariana ili biidi pia utupe maelezo ya hicho kikatuni/kikaragosi kilicho zibwa kwenye makopo ya yale maziwa je ni kwanini....? na kinahusiana vipi na mama zetu kutotaka kuzaa kwa njia ya kawaida na wale amabo wamezaa kwa njia ya kawaida inawahusu vipi hiyo burn
 
Last edited:
Back
Top Bottom