Denis Kasekenya
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 551
- 166
Duuuh!
Du mnaitoa wapi? Maana imekaa kiukweli mtupu
Kinyesi hakina mwiba lakini ukikikanyaga lazima uchechemee.
Hata uwe na bahati vipi, huwezi kuokota nyumba.
Picha ya Rais haina Bodyguard.
Urefu na ufupi ni majaliwa ya Mungu,
Unene na wembamba ni juhudi binafsi.
Hata uwe na kontena mia za viatu, Usiku lazima ulale peku.
Paka haishi nyumba ya Msela.
Ukitaka kujua shotikati, poteza nauli.
Ikisimama Panda,
Ikinywea Shuka.
- Kikombe cha kahawa hakina kisosi...
- Sms ya kuuliza salio huwa haiseviwi...
- Pengo linampendeza mtoto...
- Maua ya kwenye shuka hayanukii....
- Aliyegundua raba naye pia anaogea kandambili
- Hata wazungu wa vivuli vyeusi
-
hahahahahaha
- Kikombe cha kahawa hakina kisosi...
- Sms ya kuuliza salio huwa haiseviwi...
- Pengo linampendeza mtoto...
- Maua ya kwenye shuka hayanukii....
- Aliyegundua raba naye pia anaogea kandambili
- Hata wazungu wa vivuli vyeusi
-
shemeji charminglady unashangaa cheko??? njoo ushangae huku watu wanapanda mahindi wanakuja kuvuna :majani7::majani7:Cheko lako hilooooo!!!!!
..........pia hati ya ndoa haina Expiration date.Talaka haina sherehe.............
- mwanamke hasingiziwi mimba
- hata wazuri nao huchimba dawa
- kitimoto hachinjwi na sheikh
- ukiona mtoto kaanza kumega matonge makubwa makubwa kama ya baba yake jua huyo kakuwa
- maajabu ya computer ina window lakini haina door.
hahahahahaha
Ukinichukia hasara yako, ukininunia imekula kwako.
Teja habebeki.
Macho yaliyozoea mlima hayashangai kichuguu.
Ubishoo bila hela sawa na upara bila elimu.
CC: tedo
Gari la kuvutwa haliovertake.
Kandambili haipigwi kiwi.
Mlinzi hapewi godoro.
Ncha ya mkuki haipigwi konzi.
Mganga haagizi tembele.