GE2025 Hii Media coverage anayofanyiwa Makonda, nyama choma, kubandika mabango na hizi kofia kabla hata ya kampeni ni gharama ya nani? na return ni ipi?

GE2025 Hii Media coverage anayofanyiwa Makonda, nyama choma, kubandika mabango na hizi kofia kabla hata ya kampeni ni gharama ya nani? na return ni ipi?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wakuu kuanzia jana naona vyombo vingi vya habari vilianza kurusha kuwa Paul Makonda atachukua fomu kesho (ambayo ndiyo leo) ikatangazwa uwepo wa nyama choma nk.

Leo siku ya tukio 26 Aug, 2025) ameenda kuchukua fomu akifuatana na nyomi ya watu ikiwa na ngu za chama lakini kubwa zaidi zikiwa na jina lake. Vyombo vya habari vimeendelea kupaza sauti na kelele kwa wingi kiasi kwamba ukiingia mitandaoni leo haswa Instagram kwa kiasi kikubwa ametamalaki yeye tu.

Nilichokuwa najiuliza

A) Anataka kuonesha nini? Je kuna mtu ana kisasi naye kwahiyo anamtambia ama?
B) Gharama anazotumia ni kutoka wapi? Je ni mfukoni mwake?
C) Na kama ni mfukoni mwake anategemea return gani? Kwamba ubunge ni biashara kubwa kiasi hiki?

===
Nyama choma
View attachment 3453922
Kofia zenye jina lakeView attachment 3453935
Mabango
View attachment 3453944
Nchi hii ina mambo ya kiquma sana
 
Wakuu kuanzia jana naona vyombo vingi vya habari vilianza kurusha kuwa Paul Makonda atachukua fomu kesho (ambayo ndiyo leo) ikatangazwa uwepo wa nyama choma nk.

Leo siku ya tukio 26 Aug, 2025) ameenda kuchukua fomu akifuatana na nyomi ya watu ikiwa na ngu za chama lakini kubwa zaidi zikiwa na jina lake. Vyombo vya habari vimeendelea kupaza sauti na kelele kwa wingi kiasi kwamba ukiingia mitandaoni leo haswa Instagram kwa kiasi kikubwa ametamalaki yeye tu.

Nilichokuwa najiuliza

A) Anataka kuonesha nini? Je kuna mtu ana kisasi naye kwahiyo anamtambia ama?
B) Gharama anazotumia ni kutoka wapi? Je ni mfukoni mwake?
C) Na kama ni mfukoni mwake anategemea return gani? Kwamba ubunge ni biashara kubwa kiasi hiki?

===
Nyama choma
View attachment 3453922
Kofia zenye jina lakeView attachment 3453935
Mabango
View attachment 3453944
Akawekewe pingamizi kuanza kampeni kabla ya muda
 
Mtaji wake ni sisi wajinga ambao ujinga wetu unazidi shangaza wanasiasa na wapigaji hata wao hawakujua kwamba wanaendesha malofa
 
Mtaji wake ni sisi wajinga ambao ujinga wetu unazidi shangaza wanasiasa na wapigaji hata wao hawakujua kwamba wanaendesha malofa
I sawa a video, wakiwa wanawekewa hizo nyama yani ni vapande vichache mno.amvavyo hu expect mtu aache majukumu yake na kwenda kusukumana kwenye mstari
 
I sawa a video, wakiwa wanawekewa hizo nyama yani ni vapande vichache mno.amvavyo hu expect mtu aache majukumu yake na kwenda kusukumana kwenye mstari
Ujinga uliokithiri,njaa,maradhi bado yanatusumbua kiongozi haya mambo nyerere aliyasemea Ila bado tangu amesema vizazi viwili vimepita tunaelekea cha tatu Ila bado ni changamoto....
 
Hizo ndiyo dalili ya nchi masikini na watu wake
 
Kuna watu wachafu wengi tuu hua wanawekezaa fedha zao kwa hawa wapumbavu ili wakiingia kwenye madaraka wapate urahisi kwenye mambo yao
 
Wakuu kuanzia jana naona vyombo vingi vya habari vilianza kurusha kuwa Paul Makonda atachukua fomu kesho (ambayo ndiyo leo) ikatangazwa uwepo wa nyama choma nk.

Leo siku ya tukio 26 Aug, 2025) ameenda kuchukua fomu akifuatana na nyomi ya watu ikiwa na ngu za chama lakini kubwa zaidi zikiwa na jina lake. Vyombo vya habari vimeendelea kupaza sauti na kelele kwa wingi kiasi kwamba ukiingia mitandaoni leo haswa Instagram kwa kiasi kikubwa ametamalaki yeye tu.

Nilichokuwa najiuliza

A) Anataka kuonesha nini? Je kuna mtu ana kisasi naye kwahiyo anamtambia ama?
B) Gharama anazotumia ni kutoka wapi? Je ni mfukoni mwake?
C) Na kama ni mfukoni mwake anategemea return gani? Kwamba ubunge ni biashara kubwa kiasi hiki?

===
Nyama choma
View attachment 3453922
Kofia zenye jina lakeView attachment 3453935
Mabango
View attachment 3453944
Kifupi Arusha ndo imeenda hivyo... Itakuwa ya wajinga kama kule Lindi
 
Kwani yale mabilioni waliyochangiwa ni ya kazi gani mkuu??
 
Back
Top Bottom