Hii la mahakama ya kadhi limekaaje?

Status
Not open for further replies.
Huo ndiyo uhuni wa ccm,kwenye kampeniya urais walituahidi litashughulikiwa lakini wametuona sisi kama watu wasio na akili,wametufanya ngazi ya kufanikiwa malengo yao ya kisiasa.
Hapo sasa inabidi tubadilike habari ya kutumiwa kama ngazi na wanasiasa kwa malengo ya vyama vyao sasa iwe mwisho.

Hili suala ni la kujadili hukohuko misikitini na sio kwenye mambo ya katiba. Ibada za dini mbalimbali zitajadiliwaje ndani ya katiba jamani ?
 
Wakitaka Mahakama ya KADHI waende IRAQ, hii nchi siya KIKIRISTU WALA KIISLAM, wakienda huko watapata ya kuhukumiana kwa jino kwa jino
 
Akitokea mwanasiasa mwingine akaahidi mahakama ya kadhi, jamaa watampigia kura tena!

Hawa jamaa ni bendera fata upepo sasa
mambo hadharani kuwa ni suala lao
wenyewe kama iwepo/isiwepo
Mapovu muda huu yamewakauka
wakitafakari jinsi changa la macho
lilivyopigwa kwa upande wao wenyewe.
 
Hivi Serikali ya TANZANIA inaweza kutumiwa kufanya mambo ya dini. Hivi wale wasio na dini pesa zao ziendeshe maswala ya dini ya KIISLAM?
 
Dini inasema 'ikiwa A atafariki, basi aliowaacha yaani B,G na H wagawane mali iliyoachwa kwa uwiano wa x,y,z'. Binadamu anayeamini katika mungu wa dini hiyo hiyo hataki kufuata hilo kiasi inabidi aundiwe mahakama ili alazimishwe kufuata dini yake. Kama haitoshi, inalazimu nguvu ya dola itumike pia kutekeleza hukumu ya mahakama hiyo.

Asante Mungu kwa kuwa, imani uliotaka niiifuate haihitaji mahakama kunilazimisha kuifuata. Pale niangukapo katika majaribu ya dunia, ukaniwekea upatanisho na hema yako kwa damu ya Mwanao iliyomwagika msalabani.
 
Sio kazi ya
Tume kusilimisha taifa, Waachieni CCM ndio waasisi wa hilo

Kwa kweli nimefurahi sana hili swala lilivyokuwa handled. lingeleta machafuka ya amani yetu.

Kwa kweli Tume inastahili Pongezi.
Jambo ambalo sikulijua ni kwamba kumbe hata Zanzibar kuna Mahakama ya Kadhi ambayo haipo kwenye Katiba yao. Tume imeliweka vyema. Waislam kama wanataka mahakama ya kadhi ni ruksa ila kuingia kwenye Katiba hili ni swala lingine. Waislam wameambiwa wainge mfano wa Zanzibar.
 
Mimi kwa jinsi ninavyowafahamu Waislam, walitakiwa kuishi peke yao bila dini zingine maana kila nchi wao wana conflict, hawawezi kuvumilia kuishi na imani zingine. Tanzania wanasema kuna mfumo kristu, Kenya wanasema wametengwa, Nigeria hawataki elimu ya kimagharibi ( BOKO HARAM=WESTERN EDUCATION PROHIBITED), huko India wanapigana, huko MYANMAR wabudha wamehamua kuwaondolea waislam uvivu, Parkstan wanapigana wasuni na washia, Iraq, syria etc. kila kona migogoro
 
Si mlishaambiwa kwamba mahakama ya kadhi RUKSA lakini undeni wenyewe nje ya mfumo wa serikali.

Serikali iliwaundia BAKWATA hadi leo mnalalamika, sasa tena mnataka SERIKALI iwaundie tena MAHAKAMA YA KADHI, hivi nyinyi watu mnafahamu mnachokitaka?!

Safi sana kwa kuongea kweli tupu mkuu
 
Easy going! CCM imewatumia kama ko.nd.m kisha kuwatupa! 2015 watakuja tena
 
Kwa kweli nimefurahi sana hili swala lilivyokuwa handled. lingeleta machafuka ya amani yetu.

Kwa kweli Tume inastahili Pongezi.
Jambo ambalo sikulijua ni kwamba kumbe hata Zanzibar kuna Mahakama ya Kadhi ambayo haipo kwenye Katiba yao. Tume imeliweka vyema.

mbona bado, hiyo ni ya Muungano bado ya Tanganyika
 
Katika masuala ambayo tume imetumia hekima ni hili la Mahakama ya kadhi. Kumbe Zanzibar yenye waislamu karibu 99% katiba yao haijatamka mahakama ya kadhi, hapo wamenifungua mno ufahamu wangu. Undeni mahakama yenu wenyewe msitegemee serikali iwaundie. MBONA KANISA KATOLIKI WANA MAHAKAMA YAO NA HAWADAI IANDIKWE KWENYE KATIBA. sifahamu kuhusu madhehebu mengine ya kikristo kama yana mahakama zao.

NASHANGAZWA SANA NA NDUGU ZETU WAISLAMU KUDAI JAMBO HILI TENA KWA NGUVU YA AJABU. KUNA MAMBO MENGI YA MSINGI SERIKALI INAPASWA KUSHUGHULIKIA KAMA ELIMU, AFYA, MAWASILIANO, n.k.

HONGERA TUME YA JAJI WARIOBA.
 
Huu udini unataka kuuleta serikalini?mliambiwa anzisheni hiyo mahakama sasa mnachotaka nini tena au hukumbuki raisi wenu mlomchagua ktk msingi huo wa kidini alishawapeni go ahead?ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.
 
Kwa kweli nimefurahi sana hili swala lilivyokuwa handled. lingeleta machafuka ya amani yetu.

Kwa kweli Tume inastahili Pongezi.
Jambo ambalo sikulijua ni kwamba kumbe hata Zanzibar kuna Mahakama ya Kadhi ambayo haipo kwenye Katiba yao. Tume imeliweka vyema. Waislam kama wanataka mahakama ya kadhi ni ruksa ila kuingia kwenye Katiba hili ni swala lingine. Waislam wameambiwa wainge mfano wa Zanzibar.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom