Hii la mahakama ya kadhi limekaaje?

Hii la mahakama ya kadhi limekaaje?

Status
Not open for further replies.
Katika mambo ambayo tume wameliokoa taifa kwenye mtafaluku ni suala la mahakama ya kadhi. Nampongeza sana Jaji warioba and I say BIG UP. Halafu vilevile ILUNGA namkumbusha asome ibara ya 31(5) ya rasimu bila kusahau.
 
mbona Kenya iliwezikana kuwekwa kwenye katiba?
 
wanazungusha tu... mbona Kenya iliwezekana kuwekwa kwenye katiba na kuundwa kwa gharama za serikali?
 
Akitokea mwanasiasa mwingine akaahidi mahakama ya kadhi, jamaa watampigia kura tena!

Au siyo inabidi mkuu siku ya ijumaa uende ukasimame pale msikiti wa mtoro au msikiti wowote ukawape ukweli wao kwani nini bwana mbona waheshimiwa wanakosoa serekali kwanini na wewe usiende ukawambia kuliko kubaki kuongelea huku mkuu wale jamaa online hawapo kabisa ata kwenye mitandao ya kijamii fanya hima uende ukawambiye ukweli wasitutaniye
 
Si mlishaambiwa kwamba mahakama ya kadhi RUKSA lakini undeni wenyewe nje ya mfumo wa serikali.

Serikali iliwaundia BAKWATA hadi leo mnalalamika, sasa tena mnataka SERIKALI iwaundie tena MAHAKAMA YA KADHI, hivi nyinyi watu mnafahamu mnachokitaka?!

Hapo ndipo huwezi kujua PONDA na wafuasi wake wanataka nini na wanakataa nini. PONDA na LIPUMBA wanacheza na akili za wachache wanafikiri watacheza na akili za wengi ati mahakama hiyo iwe ndani ya dola. Muda kitambo utasikia serikali inatuingilia.
 
Naomba msaada kwenye tuta.Hivi kwa nini wanazuoni wa kiislam wasiwafundishe waamini wao umuhimu wa kufuata hayo wanayopigania kwenye mahakama ya kadhi?Wanatumia muda mwingi kukashifu imani za wengine badala kufundishana tunu za dini zao.
 
Waislamu walishiriki katika kutoa maoni kuhusu kurejeshwa Mahakama ya Kadhi lakini hakuna aliyetegemea kuwa Warioba atatupa Mahakama ya Kadhi!

Ninachotaka kusema ni kuwa hakuna jipya! ilitegemewa na Waislamu kuwa suala la Mahakama ya Kadhi litatupwa, lakini kama wasemavyo wazungu There is always plan B.

Mahakama ya kadhi imeshaanza kazi nchini lakini waislamu wa mlengo wa PONDA wanapinga mahakama hiyo kuwa chini ya BAKWATA ambayo tayari imeteua kadhi mkuu na makadhi wa mikoa kwa maelezo kwamba BAKWATA ni chombo cha serikali lakini hao hao wanataka mahakama ya kadhi iwe chini ya serikali.
 
Si mlishaambiwa kwamba mahakama ya kadhi RUKSA lakini undeni wenyewe nje ya mfumo wa serikali.

Serikali iliwaundia BAKWATA hadi leo mnalalamika, sasa tena mnataka SERIKALI iwaundie tena MAHAKAMA YA KADHI, hivi nyinyi watu mnafahamu mnachokitaka?!
mkuu hiyo statement yako nimeikubali, hawa jamaa hata mm siwaelewi kabisa.
 
Waislamu walishiriki katika kutoa maoni kuhusu kurejeshwa Mahakama ya Kadhi lakini hakuna aliyetegemea kuwa Warioba atatupa Mahakama ya Kadhi!

Ninachotaka kusema ni kuwa hakuna jipya! ilitegemewa na Waislamu kuwa suala la Mahakama ya Kadhi litatupwa, lakini kama wasemavyo wazungu There is always plan B.

Kwani hii KATIBA ni yetu tu sisi waislamu?
 
wanazungusha tu... mbona Kenya iliwezekana kuwekwa kwenye katiba na kuundwa kwa gharama za serikali?

hamna chochote mnachodai zaidi ya roho mbaya, mnataka sheria za kukandamiza mama zenu ili wasipate kurithi mali, acheni hicho kitu hao ni mama zenu.
 
Hivi inawezekana ukawa unaniita KAFIRI halafu ukataka kodi yangu ichangie mahakama ya imani yako?, Je Quaran inaruhusu KAFIRI achangie mahakama ya kadhi?
 
wanazungusha tu... mbona Kenya iliwezekana kuwekwa kwenye katiba na kuundwa kwa gharama za serikali?

Muzee unataka kukopi na kupest kila kitu kutoka kenya?wakenya wako mbele kifikira kuliko sisi.kwani sisi huku umuhimu mkubwa sana wa mahakama hiyo nini ilhali watoto wanakufa kwa kukosa lishe,madawa,mishahara inachelewa kulipwa serikali sikivu haina hela wewe umekalia kudai vitu visivyo na priority!!!
 
wanazungusha tu... mbona Kenya iliwezekana kuwekwa kwenye katiba na kuundwa kwa gharama za serikali?

sura ya ngapi, ibara ipi ya katiba ya kenya....... Go deep tukuunge mkono au haujasoma katiba ya kenya ni hear say tu.
 
kulikua na :A S-fire1: kweli kuhusu kadhi na mahakama yake, mpaka povu lilitoka baadhi yao. saiv wooote :disapointed: .kajpangeni tena diamond jubilee tupate cd mpya na hivi ilunga amekimbia nchi :rapture::rapture:
 
  • Thanks
Reactions: mij
Ni busara hiyo mahakama ikianzishwa nje ya serikali, uwe utaratibu wa waislamu na siyo serikali. Hilo litasaidia serikali kuwajibika kwa watanzania na siyo kwa dini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom