Hii la mahakama ya kadhi limekaaje?

Hii la mahakama ya kadhi limekaaje?

Status
Not open for further replies.
Huo ndiyo uhuni wa
ccm,kwenye kampeniya urais walituahidi litashughulikiwa lakini wametuona
sisi kama watu wasio na akili,wametufanya ngazi ya kufanikiwa malengo
yao ya kisiasa.
Hapo sasa inabidi tubadilike habari ya kutumiwa kama ngazi na wanasiasa
kwa malengo ya vyama vyao sasa iwe mwisho.

Wala usilalamike siasa mlifanya misikitini mmalizane huko huko na ccm yenu.
 
Niliwai kusikia mawaidha kwenye Msikiti wa Mtambani Kinondoni, wakihamasishana kuwa wahakikishe madai yao yanashughulikiwa kabla Kikwete hajamaliza muda wake, kwasababu hawajuai Rais ajaye atakuwa wa dini gani.

Sourc?
 
Waislamu walishiriki katika
kutoa maoni kuhusu kurejeshwa Mahakama ya Kadhi lakini hakuna
aliyetegemea kuwa Warioba atatupa Mahakama ya Kadhi!

Ninachotaka kusema ni kuwa hakuna jipya! ilitegemewa na Waislamu kuwa
suala la Mahakama ya Kadhi litatupwa, lakini kama wasemavyo wazungu
There is always plan B.

Katiba na ya nchi cyo ya waislam! Nyie vip? mnataka mtulazimishe tuvae misuri club?
 
Kama mlitumiwa mkakubali
hiyo ndo adhabu yake inawafaa sana, hata siku nyingine watakuja tena
watawatapeli mtakubali tu hii ndo bongo bwana.

Watasema yote hapa hapa! Alianza lipumba kulalamika watakula vumbi hadi wachoke.
 
Huo ndiyo uhuni wa ccm,kwenye kampeniya urais walituahidi litashughulikiwa lakini wametuona sisi kama watu wasio na akili,wametufanya ngazi ya kufanikiwa malengo yao ya kisiasa.
Hapo sasa inabidi tubadilike habari ya kutumiwa kama ngazi na wanasiasa kwa malengo ya vyama vyao sasa iwe mwisho.

kwani we unafikiriaje?
 
mahakama ya kadhi itakuja tena kipindi cha kampeni

Tatizo lililopo ni kwamba waislamu wanadhani adui yao mkuu na wa kwanza ni mkristo!

Bila kujua kuwa adui wa kwanza wa dini yeyote ya kawaida ni uovu na kwa maana hiyo,ni shetani!

Dini haipaswi kupingana na dini nyingine kama vile kuna kitu wanagombea!
Maana yote yafanyikayo na yapatikanayo ni kwa utukufu wa Mungu!

Ni kila mmoja kufanya yanayomuhusu maana sidhani kama Mungu atatuchagua kwa dini zetu bali matendo yetu!

Hakuna mbingu ya waislamu, wakristo ama wapagani!

Madhehebu yote yalianza baada ya watu kuwapo na sidhani kama hao waliotangulia wote (kabla ya madhehebu kuwapo) wako motoni!

Sote tunapaswa kujua kuwa Mungu wetu ni mkubwa mno kupita maelezo yetu yote kuunganisha pamoja! Mungu habinafsishwi!
 
mbona Kenya iliwezikana kuwekwa kwenye katiba?

da mtasubiri sana maendeleo hayaletwi na kadhi ila kwa kupeleka watu shule.somesheni watoto na acheni kuilinganisha Tz na Kny coz ni tofauti.bajeti hutegemea msaada kutoka nje na huohuo msaada tutumie kuanzisha mahakama za kadhi kweli?
 
tutaanzisha mahakama sisi wenyewe mwaka 2016, na watu wengi watashangaa kwasababu haitahitaji hata sh. ya serikali cha msingi waislamu tuukubali uislam wala tusiwe kama wale waliokasirikiwa na waliopotea.
 
Waislamu walishiriki katika kutoa maoni kuhusu kurejeshwa Mahakama ya Kadhi lakini hakuna aliyetegemea kuwa Warioba atatupa Mahakama ya Kadhi!

Ninachotaka kusema ni kuwa hakuna jipya! ilitegemewa na Waislamu kuwa suala la Mahakama ya Kadhi litatupwa, lakini kama wasemavyo wazungu There is always plan B.

Plan B mlishapewa.... ni nyie hamjataka kutendea kaz
 
Mambo haya mliaidiwa ndani ya msikiti.... so rudini ndani msikitini na aliyewaahidi mkamalizane. Hayo mambo hayana uhusiano na taifa ndio maana hakuhaidi hadharani ila ndani ya msikiti. Poleni imekwenda hiyoooo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom