Hii kazi imetulia sana

Hii kazi imetulia sana

Kama ni zambi ya kudinyana mbona wakulugwa huifanya hata stand ya daladala tena hadharani kabisa....

Yesu alisema... "kila amtazamaye mwanamke na kumtamani tiyari keshamdinya moyoni mwake..."

Kwa hiyo kwa mujibu wa Yesu zambi ya kumdinya demu hufanyika popote pale...

Napendekeza guest ijengwe ili kuwastili watenda dhambi...

Kwa wale wasiopenda kutenda zambi basi wang'oe macho yao hapo watakuwa hawatendi dhambi kwa sababu hawaoni tena misambwada ya mademu 😂
Napendekeza guest ijengwe ili kuwastili watenda dhambi...😂😂😂
CC: To yeye
 
Jeep pana ulinzi hatari maduka makubwa yapo hapo Shoprite,Macdonald,KFC na ndugu zake yalikua maeneo machafu mzungu akayanunua Marengo zaidi ya 100 akafanya ukarabati wa kufuru kakodisha hapo Security wa kutosha hata bar za hapo zipo poa sana..
I have bad experiences about Hill brow
 
Wajenzi na wazee wa fursa. Ramani hii hapa.. Simple design but very unique
Hii joint inafaa nje kidogo ya mji mahali palipotulia na penye parking ya kutosha

Swali la Kizushi: Je kuna haja ya kujenga gesti hausi pembeni kidogo!?😂View attachment 3308666
Hizi za hivi hazifai huku bongo. Watu wanatafuta maeneo unaweza kukaa kwenye kona ukajichimbia usionekane. Sasa hii mnakaa kama mko darasani nani atakaa hapo.
 
Wajenzi na wazee wa fursa. Ramani hii hapa.. Simple design but very unique
Hii joint inafaa nje kidogo ya mji mahali palipotulia na penye parking ya kutosha

Swali la Kizushi: Je kuna haja ya kujenga gesti hausi pembeni kidogo!?😂View attachment 3308666
😁😁 kontena ilo ...unacho takiwa ni kununu kontena tu na mafundi vyuma na fundi seremala
 
Hizi za hivi hazifai huku bongo. Watu wanatafuta maeneo unaweza kukaa kwenye kona ukajichimbia usionekane. Sasa hii mnakaa kama mko darasani nani atakaa hapo.
Ukiwa mchepukaji hapo sawa😁
 
  • Thanks
Reactions: ARV
Back
Top Bottom