Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 338
- 891
Rais wa heshima wa Simba Mohammed 'Mo' Dewji, amewaambia wanasimba wote: "Nimetoa almost 3 billion kufanikisha huu usajili, istokee kwamba MTU aseme ‘Mo hajatoa hela’ tuepuke na wapotishaji'
Nimejiuliza hii kauli ina maana gani?
Kwa nini itoke sasa? Kama ni kutoa pesa kwa nini atoke hadharani kusema? Mbona matajiri wengine kama akina GSM, Yusuph Bakhresa wa Azam au wa Singida wanatoa tu pesa bila kujitangaza walichotoa?
Nimejiuliza hii kauli ina maana gani?
Kwa nini itoke sasa? Kama ni kutoa pesa kwa nini atoke hadharani kusema? Mbona matajiri wengine kama akina GSM, Yusuph Bakhresa wa Azam au wa Singida wanatoa tu pesa bila kujitangaza walichotoa?