Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 451
Habari wanabodi ni matumaini yangu nyote ni wazima wa afya.
Ni wiki yangu ya pili nipo field hapa mkoani Tabora katika moja ya shule kubwa na kongwe lakini hadi sasa wanafunzi wamenichangia pesa na wame ninunulia simu aina ya oppo.
Kwa kweli Hali hii inanishangaza mana walimu tupo wengi lakini issue mimi.
Kwa ukweli nafundisha kwa moyo na upendo sana hadi usiku.
Pia nilipokuwa mwaka wa kwanza, field huko Kigoma wanafunzi wangu wa PCB walinichangia kama elfu 25.
Hali hii inanishagaza na naomba Kuuliza hivi Hali hii ina maaan gani kiroho.
napenda sana ualimu kuliko hata navyo penda wanawake
Ni wiki yangu ya pili nipo field hapa mkoani Tabora katika moja ya shule kubwa na kongwe lakini hadi sasa wanafunzi wamenichangia pesa na wame ninunulia simu aina ya oppo.
Kwa kweli Hali hii inanishangaza mana walimu tupo wengi lakini issue mimi.
Kwa ukweli nafundisha kwa moyo na upendo sana hadi usiku.
Pia nilipokuwa mwaka wa kwanza, field huko Kigoma wanafunzi wangu wa PCB walinichangia kama elfu 25.
Hali hii inanishagaza na naomba Kuuliza hivi Hali hii ina maaan gani kiroho.
napenda sana ualimu kuliko hata navyo penda wanawake