Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
"Marufuku kwa watumishi wa serikali kudai nyogeza ya Mshahara"
Anasema walioandamana kudai nyongeza ya Mshahara mei mosi walipaswa kuchapwa viboko.
Nini Maoni yako?
Na anatekeseka kweli.baada ya ridhiwani sasa ni zamu ya bashite kutesa
Si mlisema kuwa hamtaandika habari zake Paul Makonda?? Sasa imekuwaje hadi mnaanza kumtafuta kijana wa watu? Au zilikuwa hasira tu. Makonda noma, mtake msitake, mtamuandika tu!
Na JF nayo ni TBC??Hivi umeona nembo kwamba wale ni TBC??
Kwa hiyo na wewe ni mwandishi wa TBC, ndiyo ukaamua kuandika habari za Paul Makonda?Hivi umeona nembo kwamba wale ni TBC??
Na JF nayo ni TBC??
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Kwa hiyo na wewe ni mwandishi wa TBC, ndiyo ukaamua kuandika habari za Paul Makonda?
Akina nani walisema?Au unayemquote ni mwandishi wa habari?Tusaidie chombo gani anafanyia?Si mlisema kuwa hamtaandika habari zake Paul Makonda?? Sasa imekuwaje hadi mnaanza kumtafuta kijana wa watu? Au zilikuwa hasira tu. Makonda noma, mtake msitake, mtamuandika tu!