Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,441
Mimi binafsi bora kuchangia mbwa kuliko CCM na Polisi waoChadema ni chama cha umma ccm ni ni kikundi kinachotawala bila utashi wa watanzania kuna tofauti kubwa hata kama ukisema uwachangie je nani atakubali kuwachangia? police?
Honestly, Ofisi za Chadema ziko mioyoni mwa Watanzania..Kweli cha umma!! Hata ofisi hawana. Kwa kujifariji hamjambo!
WACHA TULICHELEWESHE ILI TUENDELEE KUTUMIA MUDA KIKAMPENI NA KUUTANGAZA UOVU WA WATAWALA NA MAHAKAMA ZAOI thought it could have been done within hours, now it is days buda! My questions are kweli chama hakina watu elfu hamsini wa kuchanga ten ten since yesterday, au tuseme wanachama laki mbili wa kuchanga buku mbili mbili jero kweli!?
Ume nyutorolaizi uzi wako wa jana, kuwa hakimu simba alikuwa fair
Ofisi mlizonazo zinatosha ofisi ziko kwenye miyoyo ya watu milion230+++ ndani ya saa 24 halafu unasema hawana ofisi ama kweli akili ni nyweli kila mtu ana zake naVipi mbona mmeshindwa kujenga hata ofisi kama kweli ni chama cha wananchi? Mnakaa kweli pagale pale ufipa.!!
Mashinji = bidhaaNimeona na kuisikia clip moja ikimuonyesha aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye sasa ni mwanachama wa CCM Dr. Vincent Mashinji akiwa na Polepole, Mama Kate Kamba, mke wake na viongozi wengine wa CCM mkoa wa Dar es Salaam. Ni baada ya kulipiwa faini yake na kutolewa gerezani.
Katika neno lake la shukrani, Dr. Mashinji, pamoja na mambo mengine, alirusha kijembe kwa chama chake cha zamani CHADEMA. Alisema kuwa mchango wa shilingi milioni thelathini ndani ya CHADEMA ungekuwa ni jambo la kitaifa lakini ndani ya CCM jambo hilo limeratibiwa na mkoa mmoja wa Dar es Salaam tu.
Katika kuongezea nguvu kauli yake hiyo, Dr. Mashinji alisema CCM ni ndugu na chama dume. Kwanza ni kweli kuwa michango inayoendelea CHADEMA ni ya kitaifa. Pili, Dr. Mashinji anapaswa kufahamu kuwa CHADEMA inapaswa kukusanya pesa nyingi zaidi ya milioni thelathini zilizomhusu. Lazima michango iwe ya kitaifa. Tatu, michango ya CHADEMA inatoa ujumbe mzito.
Mosi, michango ya CHADEMA inasadifu uwepo wa chama na wanachama na marafiki wa kichama kila mahali hapa Tanzania. Tena, michango ya CHADEMA inadhihirisha mshikamano, umoja ,upendo kwa viongozi wao na kujitoa kwa wanachama kwa ajili ya chama na viongozi wao. Huu ni ujumbe mzito na muhimu kisiasa.
Kimsingi, kijembe cha Dr. Mashinji kilisahau ujumbe unaobebwa na michango ya CHADEMA inayoratibiwa kitaifa kupata faini ya kuwatoa viongozi wao gerezani. Siasa ni kutangazika!
LipumbavuNimeona na kuisikia clip moja ikimuonyesha aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye sasa ni mwanachama wa CCM Dr. Vincent Mashinji akiwa na Polepole, Mama Kate Kamba, mke wake na viongozi wengine wa CCM mkoa wa Dar es Salaam. Ni baada ya kulipiwa faini yake na kutolewa gerezani.
Katika neno lake la shukrani, Dr. Mashinji, pamoja na mambo mengine, alirusha kijembe kwa chama chake cha zamani CHADEMA. Alisema kuwa mchango wa shilingi milioni thelathini ndani ya CHADEMA ungekuwa ni jambo la kitaifa lakini ndani ya CCM jambo hilo limeratibiwa na mkoa mmoja wa Dar es Salaam tu.
Katika kuongezea nguvu kauli yake hiyo, Dr. Mashinji alisema CCM ni ndugu na chama dume. Kwanza ni kweli kuwa michango inayoendelea CHADEMA ni ya kitaifa. Pili, Dr. Mashinji anapaswa kufahamu kuwa CHADEMA inapaswa kukusanya pesa nyingi zaidi ya milioni thelathini zilizomhusu. Lazima michango iwe ya kitaifa. Tatu, michango ya CHADEMA inatoa ujumbe mzito.
Mosi, michango ya CHADEMA inasadifu uwepo wa chama na wanachama na marafiki wa kichama kila mahali hapa Tanzania. Tena, michango ya CHADEMA inadhihirisha mshikamano, umoja ,upendo kwa viongozi wao na kujitoa kwa wanachama kwa ajili ya chama na viongozi wao. Huu ni ujumbe mzito na muhimu kisiasa.
Kimsingi, kijembe cha Dr. Mashinji kilisahau ujumbe unaobebwa na michango ya CHADEMA inayoratibiwa kitaifa kupata faini ya kuwatoa viongozi wao gerezani. Siasa ni kutangazika!
Chadema ni chama cha umma ccm ni ni kikundi kinachotawala bila utashi wa watanzania kuna tofauti kubwa hata kama ukisema uwachangie je nani atakubali kuwachangia? police?
Ungejua malengo mapana ya Chadema ungemshauri mwenyekiti wenu atoe maagizo watoke bure. Hii issue ina kwenda kuiweka Tanzania uchi. Its a matter of time mtajilaumu.. Hivi una fikiri Chadema wamekosa hizo pesa? Viongozi wenyewe wange changishana wana uwezo wa kuwatoa.Viongozi wakuu wa CHADEMA, Jana walikutana na Nyundo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, pale walipopatikana na hatia ya jumla ya makosa kumi na mbili(12)na kutakiwa kulipa faini ya jumla ya fedha kiasi Cha Tsh.350 milioni au kwenda jera miezi mitano(5) kwa kila mmoja.
Kama kawaida ya wanasiasa wakaamua kuitumia Hukumu hiyo Kama karata ya kisiasa, wote tunajua Mbowe hawezi kukosa milioni 70, Msigwa hawezi kukosa milioni 30, lakini wakaona ngoja wapime upepo ni kwa kiasi gani bado wana ushawishi katika jamii.
Kwa macho ya kwaida unaweza kusema wamefanikiwa, lakini ukizama ndani zaidi unaweza kuanza kutilia mashaka ushawishi wa chama hiki kikuu Cha upinzani.
CHADEMA walihitaji watu elfu hamsini tu(50000) wawachangie Tsh.10000 wawe wote wametoka ndani Leo hii.
Lakini hadi muda huu, Ni watatu tu Kati ya 7 walikuwa wamelipiwa( hapa Dr.Mashinji si sehemu). Sasa hoja inaweza kiibuka inawezekana vipi katika Taifa lenye watu karibia milioni 60, tuseme watu wazima ni nusu yake, Chama kinachojinasibu kuwa kinakubalika Sana na kulikuwa na habari kuwa kampeni ya CHADEMA ni msingi imetengeneza mamilioni ya Wanachama halafu hadi sasa Chama hiki kimekosa watu elfu hamsini wa kutoa ten ten.
Hii karata inaweza ikawa imewapa umaarufu wa muda CHADEMA lakini inaweza pia ikawa imewaacha uchi hasa kwenye nguvu yao ushawishi kwa Watanzania kwa Sasa.
Aaaah ha ha ha ha ha ha, nafanya tathmini ya huo Umma wanaojinadi nao ambao ndani ya masaa 48 umeshinda kujitokeza kwa idadi ya milioni moja kuchanga jero jero