Hii kampeni mzee kwa pisha, Pisha mzee ahudumiwe mabinti manafanikiwa kuenzi

Earthworker

Member
Jul 15, 2011
83
30
Maana unakuta binti mdogo na mzee umri wa babu yake, halafu uko comfortable! Na mlivyo na roho mbaya mnafikia hadi kuwapuna pesa za mafao/ viinua mgonga bila hata huruma! Hata kama ni kiu ya pesa hiyo yenu imezidi changamkeni mfanye kazi!

MZEE KWANZA PISHA MZEE AHUDUMIWE
 
Na muwapishe wazee, make wazee wanafadhilika ukimjali tu anakujali, anakupenda, anakudekeza, anakubembeleza, anakuhudumia..... Sio nyie visokorokwinyo mmekalia mashauzi tu
Ila sie ndo wanaume wa ndoto zenu! Wazee wanawapa pess ila wanawapaka shombo
 
Ila sie ndo wanaume wa ndoto zenu! Wazee wanawapa pess ila wanawapaka shombo
Shombo mnapaka nyie vijana wala chips kwa soseji, wazee unawajua unawasikia vyuma vya mjerumani vile akiondoka unabaki kumchungulia dirishani unawaza huyu ni mzee au kavaa kinyago cha mzee.....
i-may-not-be-right-t-shirt.jpg
 
Na muwapishe wazee, make wazee wanafadhilika ukimjali tu anakujali, anakupenda, anakudekeza, anakubembeleza, anakuhudumia..... Sio nyie visokorokwinyo mmekalia mashauzi tu

Kazi yenyewe ndogo malipo makubwa siyo.

Ukituachia tunasimamia kucha pesa iende kihalali.
 
Haha msela akihonga dem wake nokia tochi tu anataka alale na hd asbh na atamgegeda hd iwake moto.afu mwisho w siku mkiachana anataka dem amrudishie vitu alivyomhonga tetehe
 
Mzee si kataka mwenyewe kwa nini asipunyuliwe vuhela...we piga mzigo kwa uhakiKa ili ule hizo hela kwa demu kukuhudumia sasa
 
Back
Top Bottom