cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
cheka kidogo basi uanze week-end yako kwa furaha na uongeze siku za kuishi.
Shukrani, hizo kanga za chama gani?
nahisi ni za kile chama cha wenye viherehere kama mbuzi.
hahahahahah! Mie simo!
kumbe wee muoga eenh?
mbona we unasema cheusi wakati tunakujua ni mweupe?
Mwalimu Mkuu wangu wa praimari alikuwa hiv hivi!cheka kidogo basi uanze week-end yako kwa furaha na uongeze siku za kuishi.
Mwalimu Mkuu wangu wa praimari alikuwa hiv hivi!
Anaenda kwenye ile shughuli ya Kanga za zamani