Huyo akifanya kazi siku zote 30 anapata shs 560,000 ambacho nikiwango kuliko mtumishi wa serikali anayeanza kazi
Ndio akili zenu zinapoishia, maana mnawaza vyeo na vyeti kuliko performance na load. Sasa hesabu ndogo tu imekushinda...yaani 18,000 x 30 lakini unataka uwe mhasibu ulipwe mshahara mkubwa.
18,000 x30 = 540,000
Kwahiyo tsh.504,000/= unaiona nyingi kulipwa mtu alieenyeka kwa miaka 4 darasani?