Hello wakuu,
Kuna jamaa mtaani wamedai wamepata kazi bandarini, ambayo malipo yake ni Tsh 18,000 kwa siku. Hii ni kweli jamani? maana jamaa wana elimu ya kawaida tu wengine form4 na wengine std7. Kweli bandarini kuna kazi zenye malipo kama haya?. Ni bandari ya Dsm.
Kuna jamaa mtaani wamedai wamepata kazi bandarini, ambayo malipo yake ni Tsh 18,000 kwa siku. Hii ni kweli jamani? maana jamaa wana elimu ya kawaida tu wengine form4 na wengine std7. Kweli bandarini kuna kazi zenye malipo kama haya?. Ni bandari ya Dsm.