Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,154
- 16,237
huyo picha ya mwisho apewe tu maana alikuwa na dhamira ya dhati kabisa, bongo wangetoweka nalo kusikojulikana.
HahahahaaaNingeomba vifaa viwili tu nyundo ya kilo 5 na panga imara then nakomaa na lock tu mi sihangaiki na kioo..
Wewe acha siasa ulinzi inamaanisha pote Sasa wadili na kioo tu halafu kwengine wasiweke ulinzi wa maana kutakuwa na maana gani sasa!!.. shida sio kioo tu shida ni ulinzi kote wa kioo na hayo malock yaoKama ni hivyo ya nn nyundo, si unaandaa plan ya kuiba funguo tu. Hapa wanakuonyesha kuwa kioo hakivunjiki si kuwa huwezi kuibiwa.
Hiyo ni kampuni ya ulinzi ya vioo. Wanaonyesha uimara wa vioo. Kumbuka kioo ni kwa ajili ya display ya vitu ss wanakuonyesha ni kwa namna gani ukidesplay vitu kama jewries n.k mtu wa kawaida hawezi vunja akakwapua.
Ila kuibiwa unaweza ibiwa tena kwa kufungua mwenyewe na kumpa jambazi.
Wala si uongo, badala ya watu kuhangaika kuvunja kioo watu wangepigana wao kwa wao kwanza kila mmoja akitaka avunje yeye na arudie mpaka aseme basiNgumi zingekuwa zinapigwa eneo hilo mpaka basi
HayaWewe acha siasa ulinzi inamaanisha pote Sasa wadili na kioo tu halafu kwengine wasiweke ulinzi wa maana kutakuwa na maana gani sasa!!.. shida sio kioo tu shida ni ulinzi kote wa kioo na hayo malock yao
khaaaaahYani hapo hata nikishindwa lzm wanitoe kwa mtutu wa bunduki siwezi kukubali kirahisi hivi ati niruke mateke mawili tu then niondoke!,niende wapi nawakati mlungula uko hapo tena ikibidi nalala hapohapo..
🤣🤣🤣🤣Yani hapo hata nikishindwa lzm wanitoe kwa mtutu wa bunduki siwezi kukubali kirahisi hivi ati niruke mateke mawili tu then niondoke!,niende wapi nawakati mlungula uko hapo tena ikibidi nalala hapohapo..😅
Ndo hapo sasa nashangaa na mie aaahMbona hamuendi na hizo nguvu kwenye mabenki.
😂😂😂Mwaka 2005,Huko Vancouver Canada.
Kampuni ya Vioo ya Ulinzi (3M security Glass) walifanya tangazo la aina yake kwa kuweka kioo kigumu kisichopitisha risasi katika stendi ya mabasi na kuweka ndani yake kiasi cha fedha za kitanzania Bilioni 7(dola Mil 3).
Yeyote ambaye angefanikiwa kuvunja kioo hicho kwa kupiga,ngumi, teke kukimbia na kukiparamia au hata kutumia nyundo ile pesa ingekuwa halali yake ila hakuna aliyefanikiwa.
Je ingekuwa bongo sijui ingekuwaje?View attachment 1540034View attachment 1540035
Duuh!! Sasa Mtani ukifika pale wainyanyua vipi nyundo ya kilo 50?Ebu walete huku niwaonyeshe kazi.
Ningeenda kuchongesha nyundo ya kilo 50 .
Duuh!! Sasa Mtani ukifika pale wainyanyua vipi nyundo ya kilo 50?
Oooh!! Uko vizuri Mtani.Nabeba mifuko ya cement kila siku yenye kilo 50.
Itanishinda hyo nyundo?.
Mbele ya hela nitaibeba
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
hahahaha. na ndio maana hilo jaribio alikufanyaka bongoYani hapo hata nikishindwa lzm wanitoe kwa mtutu wa bunduki siwezi kukubali kirahisi hivi ati niruke mateke mawili tu then niondoke!,niende wapi nawakati mlungula uko hapo tena ikibidi nalala hapohapo..
Na kweli usemavyo Mtani. Kikubwa mkono uende kinywani.