Halafu useme kuwa tutatoa graduates wa kushindana! Who is Harmonise! Mtu na akili zako, University student unafikiria harmonise! na kutoa matangazo as if Nobel Prize laurate anakuja! Stupid UDOM chuo cha kata!
Haujaeleza kosa mkuu.
Haipo kwenye sababu hizo. Sababu ni moja; nafasi chache, waombaji na wenye sifa wengiHii inaweza kuwa sababu mojawapo kwanini Graduates wengi wanakosa ajira au kushindwa Interview
Unaweza kuwa sahihi, hata kama uchumi ukiwa mzuri kuajiri mtu kama huyu ni hasara kwa management na kampuni.Vyuo vingine vya kata ndio, lakini hio sio sababu ya watu kukosa ajira, uchumi ukiwa mzuri tu automatically unatoa fursa za kuajiriwa na kujiajiri
Vimemo usivisahauHaipo kwenye sababu hizo. Sababu ni moja; nafasi chache, waombaji na wenye sifa wengi