Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Hutawahi kuipata post yangu ya kumsifia hayati.Hivyo ndivyo mulivyokuwa mnamsifia hayati lkn kumbe alikuwa mwendazake
Najua ninachokisifia, na naiomba jamii yote ya Watanzania kumuunga mkono Mheshimiwa rais mama yetu kipenzi Samia Suluhu Hassan kwa manufaa ya Tanzania yetu.
Mkuu, tumuunge tu mkono Mama. Kwani una chuki nae???