Hii inatokea na inawezekana tu Tanzania, hivyo acheni wenye Akili watucheke na watudharau kwani tumejitakia na tunastahili

Hiii ni awamu ya 5 kipindi cha pili hakuna awamu ya 6 ila kuna Rais wa 6 yupo pale kwa Kwa mujibu wa kifungu cha 37 (5) cha Katiba ya nchi hiyo iliyotungwa mwaka 1977

Article 37, subsection 5 states:

Where the office of President becomes vacant by reason of death, resignation, loss of electoral qualifications or inability to perform his functions due to physical infirmity…then the Vice-President shall be sworn in and become the President…
Je kuna article inayoeleza nini awamu na awamu moja ni muda gani? Kwa kumbukumbu zangu nakumbuka mzee ruhsa alipokuwa rais wa zanzibar ndie alieanza kutumia neno awamu ndani ya serikali akiashiria kipindi chake cha utawala, sikumbuki kabisa kama katika katiba ya Tanzania kuna neno awamu na kama limebainishwa muda gani ni awamu moja.
Niko radhi kukosolewa.
 
Je kuna article inayoeleza nini awamu na awamu moja ni muda gani? Kwa kumbukumbu zangu nakumbuka mzee ruhsa alipokuwa rais wa zanzibar ndie alieanza kutumia neno awamu ndani ya serikali akiashiria kipindi chake cha utawala, sikumbuki kabisa kama katika katiba ya Tanzania kuna neno awamu na kama limebainishwa muda gani ni awamu moja.
Niko radhi kukosolewa.
Katiba inazungumzia awamu kama kipindi cha miaka 5 ambapo inasema Rais atakuwa na vipindi viwili vya miaka 10 pia katiba inazungumzia Rais wa kuchaguliwa yani electoral President pia katiba ibara ya 35 kifungu cha 5 inazungumzia Rais kama Ofisi si mtu so makamu atakuchukua madaraka ya Rais kumalizia kipindi cha kilichobaki ambacho kikatiba ni miaka 5
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan ameendelea 'Kuchemka' kwa Kujiita ni Rais wa Awamu ya Sita ila amesahau kuwa Leo amehutubia Wabunge waliochaguliwa katika Awamu ya Tano.

Nao Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Leo muda mwingi walikuwa wakimfurahia, wakimpigia Makofi, wengine hadi kupiga Sarakasi katika Viti vyao na Kumuimbia Rais wa Awamu ya Sita Mama Samia Suluhu Hassan huku wao wakijitambua kuwa ni Wabunge wa Awamu ya Tano.

Huenda Mimi Generalist na baadhi ya Watanzania wenzangu wachache sana Wanaojitambua ( Werevu ) hatujui kuwa kumbe baada tu ya Kifo cha Hayati Rais Dkt. Magufuli tarehe 17 Machi, 2021 Kesho yake kulifanyika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ambapo Rais Samia akaibuka Mshindi wa Kura pamoja na Wabunge na kuwa rasmi ni Rais wa Awamu ya Sita pamoja na hao Wabunge na Madiwani.

Leo Watu wa Mitandaoni tumetishiwa na kuambiwa kuwa kumbe tunajulikana na wakikutaka basi muda wowote ule watatupata.

Nawapongeza kwa hilo ila Rais Mama Samia nae akae akijua kuwa wengine hata ikitokea tumekufa kwa Kulazimishwa ( Kuuawa ) kwa kuwa Wakosoaji wenye Mantiki humu Mitandaoni dhidi ya Utawala wake huwa tunafurahi kwani kwa Mwenyezi Mungu atatupokea kama Mashujaa wa kuwa Wakweli, siyo Waongo na kutopenda Unafiki wala Kujipendekeza Kwake.

Msimamo wangu Generalist ni ule ule tu kuwa Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita ndani ya ( katika ) Awamu ya Tano iliyo katika Muhula wake wa Pili ( wa mwisho )

Sipo katika Kundi la 'Vichwa Maji' wengi.
Nguzo kuu ya nchi ni kuamini katika ujinga na mjinga mkuu ni mwanasiasa.Sielewi kwanini bado wanang'ang'ania kuifanya iwe awamu ya sita!? wakati katiba ipo wazi!
 
Katiba inazungumzia awamu kama kipindi cha miaka 5 ambapo inasema Rais atakuwa na vipindi viwili vya miaka 10 pia katiba inazungumzia Rais wa kuchaguliwa yani electoral President pia katiba ibara ya 35 kifungu cha 5 inazungumzia Rais kama Ofisi si mtu so makamu atakuchukua madaraka ya Rais kumalizia kipindi cha kilichobaki ambacho kikatiba ni miaka 5
Labda umeshindwa kufahamu ninachokiuliza, ninachokiuliza hapa ni kuwa neno "awamu" lipo katika katiba?
 
Muktadha wa neno awamu katika uongozi wa nchi yetu limejengwa katika kuuesabu vichwa vya Marais walioliongoza taifa letu.

Ni ile hesabu ya kawaida kabisa moja ,mbili nk.
Hivyo tumahesabu Nyerere (1),Mwinyi (2),Mkapa (3),Kikwete (4 ) Magufuri (5) na Samia (6).

Uchaguzi mkuu hauna kitu chochote cha ku-influence neno awamu.Hata Magufuri angegombea vipindi vitano ingebaki kuwa awamu moja tu ya tano.
 
Hivi katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana 2020, kama TL angemshinda JPM na kuwa Rais, angekuwa ni Rais wa awamu ya 5 au 6? Kwa nini?

Binafsi naamini awamu ni kipindi cha urais. Ni regime. Katika hilo swali langu kama TL angeshinda basi ingekuwa ni awamu ya 6 na sio ya 5. Nyerere aliongoza Tanzania kama Rais kutoka 1964 mpaka 1985....awamu ya kwanza. Magufuli kaongoza miaka 5 na miezi kadhaa, awamu yake (utawala wake) ukakoma alipofariki. Sasa tuna Rais mwingine, ni Urais (awamu ya..) wa Samia. Tupo awamu ya sita.

Hatupo chini ya utawala (awamu ya..) wa JPM kwa sasa. Ameshakufa, tumeanza awamu nyingine mpya. Rais ni mpya, kaapa upya.

Kazi iendelee!
 
Muktadha wa neno awamu katika uongozi wa nchi yetu limejengwa katika kuuesabu vichwa vya Marais walioliongoza taifa letu.

Ni ile hesabu ya kawaida kabisa moja ,mbili nk.
Hivyo tumahesabu Nyerere (1),Mwinyi (2),Mkapa (3),Kikwete (4 ) Magufuri (5) na Samia (6).

Uchaguzi mkuu hauna kitu chochote cha ku-influence neno awamu.Hata Magufuri angegombea vipindi vitano ingebaki kuwa awamu moja tu ya tano.
100%
 
We bwana hauchokagi kutwa nzima unashinda JF kupoteza ushenzi?
 
1)neno awamu lipo katika katiba?

3)na kama lipo limefafanuliwaje?

4)na kama halipo,hyo tafsiri yenu mmeitoa wapi!

5)je nyerere aliongoza awamu ngapi katika miaka yake 23?
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan ameendelea 'Kuchemka' kwa Kujiita ni Rais wa Awamu ya Sita ila amesahau kuwa Leo amehutubia Wabunge waliochaguliwa katika Awamu ya Tano.

Nao Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Leo muda mwingi walikuwa wakimfurahia, wakimpigia Makofi, wengine hadi kupiga Sarakasi katika Viti vyao na Kumuimbia Rais wa Awamu ya Sita Mama Samia Suluhu Hassan huku wao wakijitambua kuwa ni Wabunge wa Awamu ya Tano.

Huenda Mimi Generalist na baadhi ya Watanzania wenzangu wachache sana Wanaojitambua ( Werevu ) hatujui kuwa kumbe baada tu ya Kifo cha Hayati Rais Dkt. Magufuli tarehe 17 Machi, 2021 Kesho yake kulifanyika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ambapo Rais Samia akaibuka Mshindi wa Kura pamoja na Wabunge na kuwa rasmi ni Rais wa Awamu ya Sita pamoja na hao Wabunge na Madiwani.

Leo Watu wa Mitandaoni tumetishiwa na kuambiwa kuwa kumbe tunajulikana na wakikutaka basi muda wowote ule watatupata.

Nawapongeza kwa hilo ila Rais Mama Samia nae akae akijua kuwa wengine hata ikitokea tumekufa kwa Kulazimishwa ( Kuuawa ) kwa kuwa Wakosoaji wenye Mantiki humu Mitandaoni dhidi ya Utawala wake huwa tunafurahi kwani kwa Mwenyezi Mungu atatupokea kama Mashujaa wa kuwa Wakweli, siyo Waongo na kutopenda Unafiki wala Kujipendekeza Kwake.

Msimamo wangu Generalist ni ule ule tu kuwa Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita ndani ya ( katika ) Awamu ya Tano iliyo katika Muhula wake wa Pili ( wa mwisho )

Sipo katika Kundi la 'Vichwa Maji' wengi.
Hili siyo bunge la awamu ya tano ni bunge la 12 na huu ni mkutano wa tatu.
 
Nakubaliana kabisa na wewe.

Samia Suluhu ni Rais wa sita lakini aliye wa awamu ya tano.

Siombei wala sitaki iwe hivyo, ila kwa mfano ikitokea Samia anakufa, basi Philip Mpango atakuwa Rais wa saba katika awamu ya tano.

Hatokuwa Rais wa awamu ya saba!

Kwangu mimi awamu zinaendana uchaguzi baada ya muhula wa Rais kuisha.

Muhula wa pili ya Rais Magufuli haujaisha. Yeye Magufuli kafariki. Na ilivyo kikatiba, makamu wake ndo amekuwa rais.

Not a big deal. But it’s as simple as 1,2,3.
Utakufa ww msukuma
 
Tunachokisema Sisi Watanzania ni kwamba, Mama aachwe afanye kazi na neema itapatikana kwa kila mmoja wetu.

Wasiomtakia mema Mheshimiwa rais wetu Mama yetu kipenzi Mama Samia Suluhu Hassan basi waendelee kutomtakia mema, ila Mungu amemchagua na kupitia yeye taifa letu litaneemeka sana.
Wamwache mama yetu apige kazi, hakika ni chaguo sahihi la watanzania walio wengi.
 
Awamu haihesabiw kwa Miaka inahesabiwa kila anapoingia rais Mpya. Kwa maana hiyo hakuna wabunge wa awam ya tano.
 
Tunawakaribisha katika Kutuua Watu wa Mitandaoni ili tuache kuwa Wakweli, Wakosoaji wa Mantiki na tusiotaka Uwongo wala Kujikomba Kwao ili wabakie na Wapumbavu wao wengi wanaowamudu na kuwalelekesha watakavyo.

Mathayo 10:28
Msiwaogope wauao mwili(Binadamu), wasiweze kuiua na roho; afadhali muogopeni yule(MUNGU wa Mbinguni-JEHOVA) awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanamu.
 
Tunawakaribisha katika Kutuua Watu wa Mitandaoni ili tuache kuwa Wakweli, Wakosoaji wa Mantiki na tusiotaka Uwongo wala Kujikomba Kwao ili wabakie na Wapumbavu wao wengi wanaowamudu na kuwalelekesha watakavyo.
Haa has a ukitoka kwenu aga kabisa mana uhakika wa kurudi Tena mdogo....
 
Nani ameleta habari za kumchukia?? Umelewa sio???

Upumbavu wenu na kosoa kosoa zenu zisizo na msingi hazina nafasi AWAMU hii.

Mheshimiwa rais Mama Samia hana muda wa kusikiliza kosoa kosoa za kipumbavu. Muda wake ameutenga kutumikia Watanzania
Hivyo ndivyo mulivyokuwa mnamsifia hayati lkn kumbe alikuwa mwendazake
 
Back
Top Bottom