Destinylady
Member
- Nov 21, 2014
- 52
- 14
Za leo ndugu zangu, eti inakuwa vipi unakutana na mtu hapa kwenye JamiiForums mnaanza mawasiliano siku ya kwanza tu hata hamjaonana mtu anaanza kuongelea mambo ya ngono.
Hawa wenye tabia hii Hivi ni ustaarabu gani jamani.
Hawa wenye tabia hii Hivi ni ustaarabu gani jamani.