chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,758
- 2,529
Babu yangu aliwai kuniambia ukiona mwanaume anaongea sana na mwanamke na kujenganae urafiki bila kuwa na mahusiano ujue huyo mgonjwa...
Mwanaume naturally atakiwi kuchangamana na mwanamke and vice versa
Kama unabisha zaa watoto wakiume na kike alafu walaze chumba kimoja kwa mda wote wamaisha yao....halafu hutakuja na jibu kwanini huyo mtu aliongelea uroda...
Mwanaume naturally atakiwi kuchangamana na mwanamke and vice versa
Kama unabisha zaa watoto wakiume na kike alafu walaze chumba kimoja kwa mda wote wamaisha yao....halafu hutakuja na jibu kwanini huyo mtu aliongelea uroda...