Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,372
Ahhhahha mkuu
mwenzio akijidai anajua ule wewe unajidai unajua huu akijitoa faham wewe
wehuka mtaenda sawa wapotezee tu kama unaona havina mana kwako trust me
kuna mtu humu sikwenda kuonana nae amefkia hatua ya kunita malaya kisa
sikwenda huko alipo najiuliza umalaya wangu kaujuaje??? Au nilimvulia
nguo ndugu yake wa karibu au vip ila nikaja kuona jibu la mjinga n kukaa
kimya
Pole sana!