Hii ina maana gani

hivi jamani watu mpaka mkaamua kwenda pm it means kuna mlipoanzia, sasa kwann ya pm yasiishie hukohuko? mbona mkifanikiwa na mkagegedana hamji kutuambia??? aaaaggggrrrrr
 
Real hii ni shida kwa wanawake ambao hawatongozwi siku wakipata wale walio field ya kutongoza basi atataka kila mtu ajue...pm in box yako inatuhusu nn? Kama angetuma bila kumjibu ungetolewa humu jf? Nonsense stupid things...ebu jifunze kuwa na privacy basi sometimes waulize waliofanikiwa kimapenz wamepitia njia gan? Unataka kuokota embe chini ya mnazi? Keep waiting......

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wambea hao bibi mbona wakikubal hawaji huku kusema nimemkubali!

Me hapo ndo nashangaa....... mkianzana pm malizeni hukohuko mbona mambo yakiwa mazuri hawaji kutangaza!!!!!!!!
Wakijua kusema mabaya na mazuri yao wataseme.
 
Mie nawapenda wanaume wa hivyo.......DIRECT &SPECIFIC......hamna kupotezeana muda,kama vipi kamata fursa uende lol....ngono sio mbaya😁....ngono isiyo salama ndio mbaya.....na habari ndio hio.....

Ameen , na neno lako lizingatiwe.
 
WHERE WE DARE TO TALK OPENLY, hii ndio kauli mbiu ya JF au sio,sasa hao wanaoniambia tulipoanzia tukamalizane huko au huyo anayesema eti hapendi watu wasiojua kuficha siri,so unafanya nn JF kumbe kuna mambo u cant talk openly
 
WHERE WE DARE TO TALK OPENLY, hii ndio kauli mbiu ya JF au sio,sasa hao wanaoniambia tulipoanzia tukamalizane huko au huyo anayesema eti hapendi watu wasiojua kuficha siri,so unafanya nn JF kumbe kuna mambo u cant talk openly

haina maana hiyo ndugu yangu.....kama vipi angekutongozea hapahapa sasa mbona mlikuwa pm....?.ina maana pamoja na kauli mbiu hiyo ya jf....still kuna mambo hamuwezi kuyaweka hadharani kama pm......ndiyo maana ikaitwa private message.....ni private......sawa shostito......
 
Back
Top Bottom