stevemsb
Member
- Jan 20, 2017
- 39
- 107
Tutaamini vip we nenda hosptal ukaconfirm uanze dawa mapema usiambukize wengneSio mimi soma vzr
Tutaamini vip we nenda hosptal ukaconfirm uanze dawa mapema usiambukize wengneSio mimi soma vzr
Girl wako una mfukuzaje mkuu.. acha hizo.. ebu nipe namba zake na picha nimuone kama anafaa. 😅😅😂😂 nishamfukuza asepe zake
Muwe mnasoma kwazaHii ni POSITIVE, ila nenda hospital kwenye vipimo zaidi mzee
Sio ivyo alikuwaga zaman sasa jana nikakutana nae nina miaka kama 6 sijamuonaGirl wako una mfukuzaje mkuu.. acha hizo.. ebu nipe namba zake na picha nimuone kama anafaa. 😅😅
Haya mzeeMuwe mnasoma kwaza
Acha upumbav bcTutaamini vip we nenda hosptal ukaconfirm uanze dawa mapema usiambukize wengne
C.c Mwachiluwi .. 😅😅😅Tafuta UNIGOLD ufanye confirmation.....
Kwa ninachokiona hapo ni kayakanyaga
Nitumie namba yake.. basi.. vizuri kula na nduguyo 😅😅Sio ivyo alikuwaga zaman sasa jana nikakutana nae nina miaka kama 6 sijamuona
Mnaomcheka mtoa mada,mumepima?View attachment 2731104nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie njiani?
tuache tu tucheke kwakweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌Mnaomcheka mtoa mada,mumepima?
pressure inapanda na kushuka.. kama alianza kumla mate na kuzama chumvini ndio ikaja akili ya kupima.. 😅😅😅.. akapiga mswaki siku nzimatuache tu tucheke kwakweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌