Hii imekaaje? nashindwa kujielewa aisee

Hii imekaaje? nashindwa kujielewa aisee

kwema?

mimi nikinywa pombe nakua active na pia nakuwa na akili saana ufahamu wangu unakua ni mkubwa na nafanya kitu kwa usahihi kabisa .. tofauti nikiwa sijanywa sijui hii imekaaje .. nikiwa sijanywa nakua tuu na uwezo wa kawaida.
Hakuna kazi ngumu kama kumshauri mtu ambaye anakaribia kutapeliwa
 
Unajuaje kama ulikua active wakati pombe zikiisha na akili pia inaisha?
 
Back
Top Bottom