Hii imekaaje? nashindwa kujielewa aisee

Hii imekaaje? nashindwa kujielewa aisee

Atukuzwee

Senior Member
Joined
Aug 6, 2017
Posts
150
Reaction score
281
Kwema?

Mimi nikinywa pombe nakuwa active na pia nakuwa na akili saana ufahamu wangu unakuwa ni mkubwa na nafanya kitu kwa usahihi kabisa tofauti nikiwa sijanywa sijui hii imekaaje .. nikiwa sijanywa nakuwa tuu na uwezo wa kawaida.
 
Mi mwenyewe nikinywa konyagi watu huwa wanasema nakuwa na akili nyingi mnooo na kumbukumbu zote zinarudi kwa usahihi hata vitu vya mwaka 1997 naweza kukusimulia kwa usahihi.
 
Nikaribia wote yaan hata mm nikipiga laga zangu 5 hadi 7 nikiingia road kudrive ninakua na uwezo mkubwa kucotrol chombo na ninakua sahihi kwa kila jambo pia hata nje ya hapo ninawaza na kutenda kwa usahihi tofauti nikiwa sijanywa hivo bange na pombe ninadhani zinaongeza uwezo wa ubongo ika usizidishe na piakitu kjngine ambacho wenda kinafanya watu wazuie kinywaji ni kupelekea kua adicted
 
kwema?

mimi nikinywa pombe nakua active na pia nakuwa na akili saana ufahamu wangu unakua ni mkubwa na nafanya kitu kwa usahihi kabisa .. tofauti nikiwa sijanywa sijui hii imekaaje .. nikiwa sijanywa nakua tuu na uwezo wa kawaida.
unapoandika huu uzi umekunywa au bado???👿
 
Wala c kweli usemacho Bali n akili Yako tu ww mwenyewe ushaiset bila pombe huwezi kazii,,lkn kwann usijiulize kabla ya kuzijua pombe kazi ulikuwa ufanyi Kwa ufasahaaa??

Punguzaa pombe ikibidi acha kbs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom