Hii imekaaje Naomba ushauri...

Hii imekaaje Naomba ushauri...

Niliacha kazi 2016 serikalini nikaamua kuanza kuinvest..

Tokea mwaka huo, kila mwaka napanda (invest) kwenye mazao ya miti na matunda.
Hadi sasa Nina eka kadhaa za miti ya pine, mlingoti (mkaratusi) na parachichi (Hass).

Na lengo hasa ni kupanda eka nyingii za parachichi ili niweze kuexport mzigo mkubwaa sanaa kupeleka nchi yoyote itakayonipa fursa (hadi sasa nimeona company mbili japo bado hatujaongea kiofisi zaidi ila ni friendly talking tu kwasababu parachichi zangu bado nazilea).

CHANGAMOTO YANGU NI KWAMBA...

Kipindi cha kupanda (u bize shambani) kikiisha basi nakua SINA LA KUFANYA KABISA.
Kipindi cha ubize huwa ni mwezi December mpaka mwanzoni mwa March.
Kutoka hapo nakua sina la kufanya kabisaa...

Nina Bachelor + Masters ila kwakua sina la kufanya nataka nikasome masters ya pili ili kuji keep bize.

Pia watu wamenishauri ""Hiyo ada si ufanyie biashara?""
Ila wasichokijua mi KUFANYA BIASHARA SIPENDI KABISA.
Napenda kufanya INVESTMENT halafu INVESTMENT itoe RETURN ila sipendi kutoa CAPITAL ili izalishe PROFIT..!!!

Mambo ya sijui kufungua duka... Uza kuku... Uza sijui nini... Nenda China kachukue mzigo...
HAYA MAMBO SI YANGU.

Kengine mi kilimo cha mazao ya msimu sikipendii..
Kulima mahindi, maharage, mpunga mi hapana.
Huwa Napenda long term crops.

Kibaya zaidi niko SINGLE na sinywi POMBE yoyotee then nakuaga bored mpaka nyumba huwa naiona kubwaa kama hekaluu...

Yaani tokea march nimejifungia ndani na zaidi huwa nasafiri Mara moja moja sanaa kwenda mashambani kucheki mashamba.

Hebu mwana JF nipe dili kama unalo lililo serious hebu ni PM tucheki kama litanifaa.

#ASANTE
#YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
Imekaa vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliacha kazi 2016 serikalini nikaamua kuanza kuinvest..

Tokea mwaka huo, kila mwaka napanda (invest) kwenye mazao ya miti na matunda.
Hadi sasa Nina eka kadhaa za miti ya pine, mlingoti (mkaratusi) na parachichi (Hass).

Na lengo hasa ni kupanda eka nyingii za parachichi ili niweze kuexport mzigo mkubwaa sanaa kupeleka nchi yoyote itakayonipa fursa (hadi sasa nimeona company mbili japo bado hatujaongea kiofisi zaidi ila ni friendly talking tu kwasababu parachichi zangu bado nazilea).

CHANGAMOTO YANGU NI KWAMBA...

Kipindi cha kupanda (u bize shambani) kikiisha basi nakua SINA LA KUFANYA KABISA.
Kipindi cha ubize huwa ni mwezi December mpaka mwanzoni mwa March.
Kutoka hapo nakua sina la kufanya kabisaa...

Nina Bachelor + Masters ila kwakua sina la kufanya nataka nikasome masters ya pili ili kuji keep bize.

Pia watu wamenishauri ""Hiyo ada si ufanyie biashara?""
Ila wasichokijua mi KUFANYA BIASHARA SIPENDI KABISA.
Napenda kufanya INVESTMENT halafu INVESTMENT itoe RETURN ila sipendi kutoa CAPITAL ili izalishe PROFIT..!!!

Mambo ya sijui kufungua duka... Uza kuku... Uza sijui nini... Nenda China kachukue mzigo...
HAYA MAMBO SI YANGU.

Kengine mi kilimo cha mazao ya msimu sikipendii..
Kulima mahindi, maharage, mpunga mi hapana.
Huwa Napenda long term crops.

Kibaya zaidi niko SINGLE na sinywi POMBE yoyotee then nakuaga bored mpaka nyumba huwa naiona kubwaa kama hekaluu...

Yaani tokea march nimejifungia ndani na zaidi huwa nasafiri Mara moja moja sanaa kwenda mashambani kucheki mashamba.

Hebu mwana JF nipe dili kama unalo lililo serious hebu ni PM tucheki kama litanifaa.

#ASANTE
#YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kunadili la kulima njegele mkuu
 
Niliacha kazi 2016 serikalini nikaamua kuanza kuinvest..

Tokea mwaka huo, kila mwaka napanda (invest) kwenye mazao ya miti na matunda.
Hadi sasa Nina eka kadhaa za miti ya pine, mlingoti (mkaratusi) na parachichi (Hass).

Na lengo hasa ni kupanda eka nyingii za parachichi ili niweze kuexport mzigo mkubwaa sanaa kupeleka nchi yoyote itakayonipa fursa (hadi sasa nimeona company mbili japo bado hatujaongea kiofisi zaidi ila ni friendly talking tu kwasababu parachichi zangu bado nazilea).

CHANGAMOTO YANGU NI KWAMBA...

Kipindi cha kupanda (u bize shambani) kikiisha basi nakua SINA LA KUFANYA KABISA.
Kipindi cha ubize huwa ni mwezi December mpaka mwanzoni mwa March.
Kutoka hapo nakua sina la kufanya kabisaa...

Nina Bachelor + Masters ila kwakua sina la kufanya nataka nikasome masters ya pili ili kuji keep bize.

Pia watu wamenishauri ""Hiyo ada si ufanyie biashara?""
Ila wasichokijua mi KUFANYA BIASHARA SIPENDI KABISA.
Napenda kufanya INVESTMENT halafu INVESTMENT itoe RETURN ila sipendi kutoa CAPITAL ili izalishe PROFIT..!!!

Mambo ya sijui kufungua duka... Uza kuku... Uza sijui nini... Nenda China kachukue mzigo...
HAYA MAMBO SI YANGU.

Kengine mi kilimo cha mazao ya msimu sikipendii..
Kulima mahindi, maharage, mpunga mi hapana.
Huwa Napenda long term crops.

Kibaya zaidi niko SINGLE na sinywi POMBE yoyotee then nakuaga bored mpaka nyumba huwa naiona kubwaa kama hekaluu...

Yaani tokea march nimejifungia ndani na zaidi huwa nasafiri Mara moja moja sanaa kwenda mashambani kucheki mashamba.

Hebu mwana JF nipe dili kama unalo lililo serious hebu ni PM tucheki kama litanifaa.

#ASANTE
#YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna kitu unachotafuta zaidi ya ushauri na hii story ume I pimp kufikia lengo, wewe ndo muwekezaji wa kwanza ambaye anakuwa huru man hana la kufanya kwa miezi 3!

Msimu wa wawekezaji wa mashambani ukiisha kuna administrative works kibao za kufanya, nyingi mno, what you wrote is never practical is just a pimped story!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kuna kitu unachotafuta zaidi ya ushauri na hii story ume I pimp kufikia lengo, wewe ndo muwekezaji wa kwanza ambaye anakuwa huru man hana la kufanya kwa miezi 3!

Msimu wa wawekezaji wa mashambani ukiisha kuna administrative works kibao za kufanya, nyingi mno, what you wrote is never practical is just a pimped story!
Unanunua shamba unakua bize kupanda miti mpaka January/december....

Na February na March unakua bize na kuweka mbolea na na kupalilia...
Then katikati ya march hakuna kazi

April hakuna kazi.

May au June palizi ya pili.

August au Oct palizi ya tatu.

Then ukiangalia hapo ni miezi kibaoo hakuna cha kufanya.

Au unataka niwe shambani naangalia miti?

Halafu tunapanda miti hahitaji everyday management.

Chakujua.
Creating passive income does not need close supervision in management.
SIO mahindi haya kwamba muda wotee uwe shambani.

Ndio maana watu wananunua hisa = FINANCIAL MARKET ili wawe free huku money increase in value.

Huwa tunaenda shambani kucheki tu maisha ya miti na sio kila siku.
Na kumbuka ni miti kwa ule mwezi ambao hakuna kazi unaenda Mara 1 au 2 kucheki fungus au wadudu au kama kuna dalili LA less nutrients.

Ni hayo tu.


AMEN
Nadhani umeelewa.

#YNWA
 
Very true
Kuna kitu unachotafuta zaidi ya ushauri na hii story ume I pimp kufikia lengo, wewe ndo muwekezaji wa kwanza ambaye anakuwa huru man hana la kufanya kwa miezi 3!

Msimu wa wawekezaji wa mashambani ukiisha kuna administrative works kibao za kufanya, nyingi mno, what you wrote is never practical is just a pimped story!
 
Kwa hiyo mwaka mzima unalima zao moja tu? Mhhhh mkuu wewe kutoboa utapasikia mbinguni.
Mkulima mzuri yule wa kisasa anakuwa busy na anaratiba ya mazao ya mwaka mzima.
Mfano November upo iddle kwa maparachichi lakini huku unaanda shamba la zao lingine.
Ukiwa iddle sana kazi zimepungua unafungua hata vidarasa uchwara vya kilimo unapata 50,000 kwa kichwa.
Lakini nachojua kikubwa sana ukishasimama kwenye kilimo unasimamisha biashara ingine(side business inakupa back up) ila wewe umerelax sana.
Nauhakika huu uzi una mengine lakini si lengo hili.
Kama unalima pambana basi uwafikie wakina Sumri.
Unanunua shamba unakua bize kupanda miti mpaka January/december....

Na February na March unakua bize na kuweka mbolea na na kupalilia...
Then katikati ya march hakuna kazi

April hakuna kazi.

May au June palizi ya pili.

August au Oct palizi ya tatu.

Then ukiangalia hapo ni miezi kibaoo hakuna cha kufanya.

Au unataka niwe shambani naangalia miti?

Halafu tunapanda miti hahitaji everyday management.

Chakujua.
Creating passive income does not need close supervision in management.
SIO mahindi haya kwamba muda wotee uwe shambani.

Ndio maana watu wananunua hisa = FINANCIAL MARKET ili wawe free huku money increase in value.

Huwa tunaenda shambani kucheki tu maisha ya miti na sio kila siku.
Na kumbuka ni miti kwa ule mwezi ambao hakuna kazi unaenda Mara 1 au 2 kucheki fungus au wadudu au kama kuna dalili LA less nutrients.

Ni hayo tu.


AMEN
Nadhani umeelewa.

#YNWA
 
Back
Top Bottom