Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

Unakuna pale unapoweza.

Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.

Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.

1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.

Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.

Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.

Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?

From northern part of Tanzania.
Shida ya sisi watanzani ni kwamba tunaponda nakusifia kwa matumizi na sio kuunda vyakwetu

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
 
usiwe mbishi bila kujisomea.

unajua tecno,infinix na itel zinazalishwa wapi???na kuuzwa mataifa yapi??kwanini??

unajua kwanini zinauzwa bei ndogo kuliko simu sawa za kampuni kubwa??
Bei ya Phantom Z ni milioni moja je hiyo ni bei ndogo?
 
tecno hata iwe kubwa au nyingi kiasi gani inakunyima kujiamini,hizi simu sijui zina nini.

mimi naamini popote unapokaa na watu,lazima uwaambie hiyo simu ina storage ngapi na ram kiasi gani,na ni lazima uwajaribishie camerabisha.
Utakuwa mtoto sana wewe
 
Unakuna pale unapoweza.

Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.

Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.

1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.

Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.

Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.

Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?

From northern part of Tanzania.
Wanachekwa sababu wanatumia pesa kununua vitu vya hovyo.
 
Akili za kuangalizia ambazo una kopi hadi jina la unayempiga chabo
Yaani unakuwa na simu halafu huna uwezo wa kununua bundle la mwezi elfu 30 GB 20? Huwezi kuwa na salio la laki tano kwenye simu halafu unajisifu ujinga? Acha upimbi dogo..
 
Unakuna pale unapoweza.

Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.

Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.

1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.

Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.

Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.

Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?

From northern part of Tanzania.
Ni ushamba kumiliki simu ya bei kubwa ni kweli.Watu kama hao wanataka tu kupata acceptance kwa watu, which is a psychological problem.Mtu anayejiamini hahitaji kupata acceptance kwa watu kwa kuwa na hiki au kile.
 
Passo vs BMW tunazipima kwa specifications sio??

Leta hiyo iPhone yako au Samsung alafu tupime kwa specifications vile vile tuone huo u passo ulipo

Ujinga mtupu
50 cent.gif
 
Simu inatakiwa iwe na uwezo wa kukaa na chaji muda mrefu, iweze kuwa hewani unapopigiwa, uweze kuitumia kupigia watu, hivyo ndio vitu vya msingi.

Chachandu iongezewe kalkuleta na kamera. Wengi wetu hivyo ndio vitu tunahitaji.

Kukimbizana na matoleo ni mambo ya status tu. Kuna watu wanamiliki simu ina mambo ambayo anaitumia 10% tu.

Kwa hisani ya Infinix X603.
Screenshot_20211021-081937.jpg
 
Tofauti ipo hizo simu ulizotaja zinapata sana moto, baada ya muda fulan huwa zinasumbua network na pili Zina great effect kwenye Radiation

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app

Nakubaliana na wewe hasa hapo kwenye madhara ya mionzi.

Lakini simu za aina zote zinazokuja soko la Afrika au huku nchi masikini, hazina ubora. Ni tofauti sana na simu hizo hizo zinazotengenezwa maalum kwa soko la Ulaya.

Ndio maana kuna wakati naona bora nipate second hand. Wanaandika hadi hizo taarifa za makadirio ya athari za radiation.
 
Huu uzi ni mahususi kwa sisi masikini kujifariji, sizitaki mbichi hizi...ila tungekuwa na kipato cha kutosha wengi wetu tungenunua hizo Samsung na iphone pro max🐒

Hizi fani za watu mkuu. Nimeshasema hapo juu kuna raia wanakusanya mshahara wa miezi mitatu akachukue simu.

Sawa na mimi nipo radhi nilale chini, nitandike mkeka tu ila niwe na mziki.
 
Back
Top Bottom