Hii Hapa Link ya Polepole Conference

Hii Hapa Link ya Polepole Conference

Naunga mkono na mimi huwa niko against na watu wanaosema nchi ingechukuliwa na Venance , si sawa nchi ikiishaingia utawala wa kijeshi basi huwa hairudi kuwa sawa kidemokrasia.

Namuunga mkono kwenye hili la sasa January Samia kujipitisha gizani kwa mkono wa Kikwete na kuwa mgombea pekeyake kwa ule msemo wa "fomu ni moja tu"

Kuhusu kumuamini Polepole mimi ninaamini hayuko pekeyake ila ni mwanzo wa wale waliochukia Samia kujipitisha na yule mzee alipopeleka kesi mahakamani wakamfuta uanchama halafu msajili wa vyama yuko kimya.
safi mkuu --- hawa ccm mimi nafurahi tu wanavotifuana to be fair 🤣, jahazi hili lilizama 2020 na kuligeuza hapa miaka kadhaa inabidi ipite. (labda watumie nguvu mkuu au nasema uongo?)
 
safi mkuu --- hawa ccm mimi nafurahi tu wanavotifuana to be fair 🤣, jahazi hili lilizama 2020 na kuligeuza hapa miaka kadhaa inabidi ipite. (labda watumie nguvu mkuu au nasema uongo?)
Huyu yuko na kundi lake na wamejipanga nilisubiri nisikie tu kitu kimoja ili niconfirm nilichofikiri mwanzo na ilikuwa ni kuhusu mama Abdul kujipitisha pekeyake kinyume na katiba yao sasa wanamkalia kooni.

Hili jahazi lilizama kabisa 2020 kama unavyosema na sasa baada ya hii press tusubiri gunia la machawa wa buku 7 kama kina Lucas Mwashambwa likifunguliwa kuja kudiscredit alichoongea.
 
Hakuna niliposema sipendi kumsikiliza mkuu wewe bado hujanielewa ila utanielewa akishamaliza kuongea, kwa sasa acha nieche uelewe km ulivyoelewa
Hapo ulipom quote yule jamaa ni kama umetumia lugha ya mkazo na ya mshangao kuwa kwanini anataka kumsikiliza Polepole.....ndio maana nikakuambia muache mtu afanye kulingana na utashi wake
 
HUWEZI PATA AMANI BILA HAKI. -- INAANZA HAKI INAFUATA AMANI == SLOWSLOW


huyu jamaa anataka kufanya nianze kumuaminiamini🤣


Screenshot_20250718_131649_Chrome.jpg


Hatari sana
 
Huyu yuko na kundi lake na wamejipanga nilisubiri nisikie tu kitu kimoja ili niconfirm nilichofikiri mwanzo na ilikuwa ni kuhusu mama Abdul kujipitisha pekeyake kinyume na katiba yao sasa wanamkalia kooni.

Hili jahazi lilizama kabisa 2020 kama unavyosema na sasa baada ya hii press tusubiri gunia la machawa wa buku 7 kama kina Lucas Mwashambwa likifunguliwa kuja kudiscredit alichoongea.
Naam mkuu, hapa ni kusubiri tu developing events

dog eat dog - kwa hisani ya mabeberu (mbwa kala mbwa)
 
Back
Top Bottom